chuwaalbert
JF-Expert Member
- Sep 17, 2010
- 3,598
- 2,115
Wapi hujamsoma au kote hujaelewa kabisa? Mkuu huju Salma2015 ameandika vizuri sana na ningetamani Nape aje asome aone nini cha kufanya maana jamaa japokuwa kaweka kama tetesi lakini kuna element ya ukweli by 75%.
Unajuaje kama hii siyo Identity feki ya Nape? Yaani,mtitiriko huu wa kimantik umekaa kiNapeNape!