Hujui thamani yako kabisa wewe mwanamke

Hujui thamani yako kabisa wewe mwanamke

True. Wanawake wengi tunalalamika wanaume wagumu. Au bahili, ila inategemea unajiweka je. Sithani kama first date mwanamke umeva nguo zako classic, perfume ya 30 and above, saa yangozi original au ya copy ya gold au diamond mwanaume akuombe mechi cku hiyo. Na hata akiomba sithani kama atakupeleka guest ya elf 7. Kwahiyo nacc wanawake tujitahid kuwa smart na classic. Sijasema lazima viwe expensive lashaha vinaweza kuwa cheap but classic kutokaana na mwili wako. chukua picha umeva yeboyebo sandals za kariakoo za elf 4 hujajipulizia spray wala deodorant. Liwigi umelirudia marambili utegemee kupelekwa. Hotel ya hadhi.
Mwanamke mwenye tamaa ya pesa utamjua tu kwenye maelezo yake hivi wewe unae bagua sehemu ya kukojoleshwa unafikiri huko 5star ndio utaenda ulizike sana au ukojoe sana wanawake ndio maana mnaharibikiwa kwa kujidanganya hovyo au unafikiri hao wanao pelekwa kwenye gest 7elfu hawana hakiri au sio wazuri ndio maana mnakua limbuken wa kufuata wenye gari hata za kuazima mwisho wa siku unangongwa na kuachwa unakuja kusema wanaume wabaya sio wabaya tatizo unapenda vya gharama sana nani wa kuvumilia 5 star logde 10000 bado hakupa wew atakua anafanya kazi ya kukutafutia ww tu
 
Napia kama untaka mwanaume akuheshim usimbe hela first date. Hata akikupa nauli unaweza ukakata nakumwambia either unayo au gari bado inamafta . After all it can range between 5000 and 10000. Next time atajipanga vizuri
Yaani unakataa nauli unayopewa na kimoyo moyo unaitaka....acheni njaaa msisubiri vya kupewa
 
Napia kama untaka mwanaume akuheshim usimbe hela first date. Hata akikupa nauli unaweza ukakata nakumwambia either unayo au gari bado inamafta . After all it can range between 5000 and 10000. Next time atajipanga vizuri
Eti usiombe hela first date [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Ila huwa mnaangalia na wa kuwasimamisha huko viwanjani na mara nyingi ni wale wasiojielewa
Tena nyie mnao jiona classic ndio mnapigiwa kabisa uwanjani au kwenye ukuta
 
ndio ukavue nguo uwanjani
Huyu askari muoga yaani ni kweli kbs kitumbua unatumbua popote iwe uwanjani, vichakani, juu ya mti, jikoni, ili mradi utam kolea

Kijamaa kimedinda na nyapu inafukua msubiri giraffe hotel we zozo kwel

Ndo maana wazung hata kwenye gar ikifukua wanapakuana tu

Watu wanajifanya wastaraabu we ungemuona naniii yako usingethubutu
 
Hujui utamu wewe.....
Nini hotel? Hakuna mapenzi matamu kama hayo sasa, chini ya mti unashika mti unapandisha gauni, kwenye jumba ambalo halijaisha unasogeza bikini, kuna vitu kama hujafanya huwezi kuvielewa thamani haipimwi kwa kulala giraffe wala mbelikwe kutmbwa ni kutmbwa tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Eti K ni K tu... aiseeee
 
Napia kama untaka mwanaume akuheshim usimbe hela first date. Hata akikupa nauli unaweza ukakata nakumwambia either unayo au gari bado inamafta . After all it can range between 5000 and 10000. Next time atajipanga vizuri
Eti usiombe hela 1st date.
Wanawake na hela ni km Samaki na maji,kidole na kucha,mdomo na ulimi,kiuno na ........
Hata uwe class vipi,utashikishwa ukuta tu na wabishi [emoji3] [emoji3] [emoji3] kwa dharauu
 
Kabisa mkuu!!! Ni kutotambua thamani yako
Thamani huanza kwa kuji_brand yourself..... Kizuri chajiuza kibaya chajitembeza kweliiiii!!![emoji154] [emoji145][emoji156] [emoji162] [emoji149] [emoji151] [emoji150]
 
Hahahahahahaha umenikumbusha mbali sana Mzee, kuna couple moja ilikua inabanjuana ground pale mabibo, tuliwarushia mawe tukasikia sauti za taharukii hahahaha
 
Lol! Evelyn Salt katika ubora wake. Huku mbu nao wakiwa busy kupata lishe yeye yao nawe uko busy kukata kiuno mpaka ufike kwenye kilele. Chezeya utamu weye!
🙂🙂

Hujui utamu wewe.....
Nini hotel? Hakuna mapenzi matamu kama hayo sasa, chini ya mti unashika mti unapandisha gauni, kwenye jumba ambalo halijaisha unasogeza bikini, kuna vitu kama hujafanya huwezi kuvielewa thamani haipimwi kwa kulala giraffe wala mbelikwe kutmbwa ni kutmbwa tu
 
Mwanamke mwenye tamaa ya pesa utamjua tu kwenye maelezo yake hivi wewe unae bagua sehemu ya kukojoleshwa unafikiri huko 5star ndio utaenda ulizike sana au ukojoe sana wanawake ndio maana mnaharibikiwa kwa kujidanganya hovyo au unafikiri hao wanao pelekwa kwenye gest 7elfu hawana hakiri au sio wazuri ndio maana mnakua limbuken wa kufuata wenye gari hata za kuazima mwisho wa siku unangongwa na kuachwa unakuja kusema wanaume wabaya sio wabaya tatizo unapenda vya gharama sana nani wa kuvumilia 5 star logde 10000 bado hakupa wew atakua anafanya kazi ya kukutafutia ww tu
Tafta pesa acha gubu. Mimi pesa mbele

Sent from my GT-N7100 using JamiiForums mobile app
 
Lol! Evelyn Salt katika ubora wake. Huku mbu nao wakiwa busy kupata lishe yeye yao nawe uko busy kukata kiuno mpaka ufike kwenye kilele. Chezeya utamu weye!
🙂🙂
Unasema mbu???
Siafu bana, kuna siku niliingiwa na siafu kwenye jeans sitasahau....
Siku hiyo ndo nilijijua kumbe nina mbio
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Hahahahahahaha lol! na wale wadudu wanauma aisee duh! hawakuwahi kugusa papuchi lol! sasa unakimbilia wapi wakati tayari wameshajaa kwa jeans!? lol! Chezeya utamu weye! 🙂🙂🙂

Unasema mbu???
Siafu bana, kuna siku niliingiwa na siafu kwenye jeans sitasahau....
Siku hiyo ndo nilijijua kumbe nina mbio
 
True. Wanawake wengi tunalalamika wanaume wagumu. Au bahili, ila inategemea unajiweka je. Sithani kama first date mwanamke umeva nguo zako classic, perfume ya 30 and above, saa yangozi original au ya copy ya gold au diamond mwanaume akuombe mechi cku hiyo. Na hata akiomba sithani kama atakupeleka guest ya elf 7. Kwahiyo nacc wanawake tujitahid kuwa smart na classic. Sijasema lazima viwe expensive lashaha vinaweza kuwa cheap but classic kutokaana na mwili wako. chukua picha umeva yeboyebo sandals za kariakoo za elf 4 hujajipulizia spray wala deodorant. Liwigi umelirudia marambili utegemee kupelekwa. Hotel ya hadhi.
Apo inategemea tu kama upo sokoni sawa fanya ivo ili mwisho wa siku mauzo yaende vizuri, ila kwa mapenzi tu ya kawaida ya malengo mbeleni ayo yote ya nin? Aje kama alivo niende kama nilivo tupange maisha. Mwisho wa siku izo pafyumu za 30 tutapaka tu,
 
Hahahahahahaha lol! na wale wadudu wanauma aisee duh! hawakuwahi kugusa papuchi lol! sasa unakimbilia wapi wakati tayari wameshajaa kwa jeans!? lol! Chezeya utamu weye! 🙂🙂🙂
Home, kuivua ha ha ha
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mimi hela nitakupa lakini usiniombe!!! Unajua nazipata wapi?!! Behave, utafaidi ila ukileta ubabe utavuna vumbi!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom