Hujui thamani yako kabisa wewe mwanamke

Askari Muoga

JF-Expert Member
Oct 22, 2015
6,113
4,658
Ha ha ha ha ha nakucheka kwa dharau. Hivi wenzako wanapelekwa Girrafe hotel wewe unapelekwa kiwanja cha shule usiku wa manane unapigwa mbu dah wanaume nawaona au kwa vile viwanjani hakuna hata duka?

Unasimamishwa wewe hadi uchoke tena wanawake wengine hapohapo uwanjani watavua nguo dah siku mbili mimba unakimbiwa.

Usipojua thamani yako utaumizwa tu.
 
True. Wanawake wengi tunalalamika wanaume wagumu. Au bahili, ila inategemea unajiweka je. Sithani kama first date mwanamke umeva nguo zako classic, perfume ya 30 and above, saa yangozi original au ya copy ya gold au diamond mwanaume akuombe mechi cku hiyo. Na hata akiomba sithani kama atakupeleka guest ya elf 7. Kwahiyo nacc wanawake tujitahid kuwa smart na classic. Sijasema lazima viwe expensive lashaha vinaweza kuwa cheap but classic kutokaana na mwili wako. chukua picha umeva yeboyebo sandals za kariakoo za elf 4 hujajipulizia spray wala deodorant. Liwigi umelirudia marambili utegemee kupelekwa. Hotel ya hadhi.
 
Napia kama untaka mwanaume akuheshim usimbe hela first date. Hata akikupa nauli unaweza ukakata nakumwambia either unayo au gari bado inamafta . After all it can range between 5000 and 10000. Next time atajipanga vizuri
Ukiikataa hiyo pesa ndo ujue umeliwa bure maana jamaa litaghaili kukutafuta tena
 
True. Wanawake wengi tunalalamika wanaume wagumu. Au bahili, ila inategemea unajiweka je. Sithani kama first date mwanamke umeva nguo zako classic, perfume ya 30 and above, saa yangozi original au ya copy ya gold au diamond mwanaume akuombe mechi cku hiyo. Na hata akiomba sithani kama atakupeleka guest ya elf 7. Kwahiyo nacc wanawake tujitahid kuwa smart na classic. Sijasema lazima viwe expensive lashaha vinaweza kuwa cheap but classic kutokaana na mwili wako. chukua picha umeva yeboyebo sandals za kariakoo za elf 4 hujajipulizia spray wala deodorant. Liwigi umelirudia marambili utegemee kupelekwa. Hotel ya hadhi.
Kumbe mnajuqga,wenyw mnapokosea
 
Napia kama untaka mwanaume akuheshim usimbe hela first date. Hata akikupa nauli unaweza ukakata nakumwambia either unayo au gari bado inamafta . After all it can range between 5000 and 10000. Next time atajipanga vizuri
Malaika kama nyie cjui mnajifichaga wap
 
Waacheni na pochi manyoya zao wazitumie kama watakavyo wampe wamtakaye kwani si zao bwana....
 
Napia kama untaka mwanaume akuheshim usimbe hela first date. Hata akikupa nauli unaweza ukakata nakumwambia either unayo au gari bado inamafta . After all it can range between 5000 and 10000. Next time atajipanga vizuri
Yaani nyie mnawaza kupewa hela tu kudadadek!hamna shida na sisi wenye hela zetu tutaendelea kuwachakaza tu,leo nagonga huyu kesho yule,si hela tu
 
Ila huwa mnaangalia na wa kuwasimamisha huko viwanjani na mara nyingi ni wale wasiojielewa
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Jiangalie ulivyo, muangalie uliye naye hadhi yake na mazingira uliyopo maana huwezi kuwa unaishi kishapu halafu unataka mwanaume au mwanamke ya watu waliopo sinza dar na akupeleke hotel landmark, kingine hata mwanaume aliyepo dar anaangalia huyu mwanamke anapenda vitu vya bei kali refer wimbo wa jose chamilion utakuwa wa kutumia tu kinachotakiwa muende tu sehemu safi na salama, wewe mwanamke unataka mwanaume handsome, mara awe na uume mkubwa, ajue kukufanya sana, awe na hela na awe romantic hivi mtu wa namna hii unampata wapi mwenye kila kitu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom