Hujawahi kumtongoza, lakini.......................

Sinai

JF-Expert Member
Jan 20, 2011
288
47
Jamani, kuna rafiki yangu wa karibu sana kaniambia kuwa yeye anaurafiki na dada mmoja hivi (urafiki wa kawaida tu) kwa muda mrefu sasa! Hajawahi kumtongoza hata siku moja, lakini juzi kati hapa, jamaa akapata mchumba na anataka kwenda kutoa posa. Lakini alipomwambia huyu binti ambaye ni rafiki yake wa kawaida juu ya swala hilo, huyo rafiki alikasirika sana, akamjibu hovyo kuwa kwanini anamwambia mambo yao? Ili aumie moyo au? Akawa anafyonya hovyo na kuondoka zake. Tangu siku hiyo hata akimpigia simu hapokei, hata sms hajibu! Sasa jamaa anashangaa, tatizo/kosa lake ni lipi? Anaomba msaada wana jamiii!!!!!!!!!!!!!
 
Huyo rafiki yako asiende kutoa posa huko mke anaye hapohapo ambaye tayari ni marafiki na ndoa yao itakuwa nzuri,hamna ndoa nzuri kama ya marafiki.
 
Dena! Nimeanza nini mpenzi????????????????????????
 
PHP:
[B] [IMG]https://www.jamiiforums.com/images/icons/icon1.png[/IMG] Hujawahi kumtongoza, lakini....................... [/B]

    Jamani,  kuna rafiki yangu wa karibu sana kaniambia kuwa yeye anaurafiki na dada  mmoja hivi (urafiki wa kawaida tu) kwa muda mrefu sasa! Hajawahi  kumtongoza hata siku moja, lakini juzi kati hapa, jamaa akapata mchumba  na anataka kwenda kutoa posa. Lakini alipomwambia huyu binti ambaye ni  rafiki yake wa kawaida juu ya swala hilo, huyo rafiki alikasirika sana,  akamjibu hovyo kuwa kwanini anamwambia mambo yao? Ili aumie moyo au?  Akawa anafyonya hovyo na kuondoka zake. Tangu siku hiyo hata akimpigia  simu hapokei, hata sms hajibu! Sasa jamaa anashangaa, tatizo/kosa lake  ni lipi? Anaomba msaada wana jamiii!!!!!!!!!!!!!

It is too late to catch the train now it has left the station........................................ukikamata mahali pashikilie vinginevyo utajikuta wajanja wamekuchukulia mali yako................................kwa akina dada ujumbe ni kuwa kama una jamaa yako mmeshibana vizuri mwulize ana miipango gani na wewe ya muda mrefu ili uelewe mnatoka wapi. mmpo wapi na mwaelekea wapi................................prepare your partner or someone will prepare your partner to your utmost anguish.......................

Huyu mke wa Prince Williams ni somo zuri hapo ilifika mahali alimwuliza prince hivi hili husiano malengo yake ni yepi.......................prince akamjibu kuwa ni urafiki tu..................yule binti akasema mimi usinipotezee muda wangu ni mtu ninataka kuolewa kama haupo tayari basi tuachane.........ili usinizibie riziki maana wapo wanaonihitaji zaidi yako......................uhusiani ulivunjwa na prince aliporudi akaulizwa upo tayari kunioa au unataka kuendeleza zila soga za mwaka 47 ......prince akasema nipo tayari...........................................Binti alimwandaa mzee wake na leo wamefunga pingu za maisha.............................................................do we learn something there???????????
 
Sinai umegusa penyewe kabisa, hili swala linatutesa sana.Urafiki wa mwanaume na mwanamke, watu wengi hawaamini katika hilo... Tubadilike sio lazima tutongozane tunaweza kuwa marafiki wazuri tu bila kwenda mbali zaidi amuelimishe kwa hilo, it's sad to lose a friend. :frusty:
 
PHP:
[B] [IMG]https://www.jamiiforums.com/images/icons/icon1.png[/IMG] Hujawahi kumtongoza, lakini....................... [/B]
 
Jamani, kuna rafiki yangu wa karibu sana kaniambia kuwa yeye anaurafiki na dada mmoja hivi (urafiki wa kawaida tu) kwa muda mrefu sasa! Hajawahi kumtongoza hata siku moja, lakini juzi kati hapa, jamaa akapata mchumba na anataka kwenda kutoa posa. Lakini alipomwambia huyu binti ambaye ni rafiki yake wa kawaida juu ya swala hilo, huyo rafiki alikasirika sana, akamjibu hovyo kuwa kwanini anamwambia mambo yao? Ili aumie moyo au? Akawa anafyonya hovyo na kuondoka zake. Tangu siku hiyo hata akimpigia simu hapokei, hata sms hajibu! Sasa jamaa anashangaa, tatizo/kosa lake ni lipi? Anaomba msaada wana jamiii!!!!!!!!!!!!!

It is too late to catch the train now it has left the station........................................ukikamata mahali pashikilie vinginevyo utajikuta wajanja wamekuchukulia mali yako................................kwa akina dada ujumbe ni kuwa kama una jamaa yako mmeshibana vizuri mwulize ana miipango gani na wewe ya muda mrefu ili uelewe mnatoka wapi. mmpo wapi na mwaelekea wapi................................prepare your partner or someone will prepare your partner to your utmost anguish.......................

Huyu mke wa Prince Williams ni somo zuri hapo ilifika mahali alimwuliza prince hivi hili husiano malengo yake ni yepi.......................prince akamjibu kuwa ni urafiki tu..................yule binti akasema mimi usinipotezee muda wangu ni mtu ninataka kuolewa kama haupo tayari basi tuachane.........ili usinizibie riziki maana wapo wanaonihitaji zaidi yako......................uhusiani ulivunjwa na prince aliporudi akaulizwa upo tayari kunioa au unataka kuendeleza zila soga za mwaka 47 ......prince akasema nipo tayari...........................................Binti alimwandaa mzee wake na leo wamefunga pingu za maisha.............................................................do we learn something there???????????

Rutashubanyuma:
Im all for openess, however tatizo ni kuwa nyinyi kaka zetu when it comes time to discuss the "when" or where the relation is heading,
instead of telling it like it is, inakuwa " ohh unaharakisha mambo, ohh this woman is desperate, oh this and that" even though moyoni you already know...........................urrrrrrrrrrrghhhhhhhhhh :eyeroll1:!
 
Sinai umegusa penyewe kabisa, hili swala linatutesa sana.Urafiki wa mwanaume na mwanamke, watu wengi hawaamini katika hilo... Tubadilike sio lazima tutongozane tunaweza kuwa marafiki wazuri tu bila kwenda mbali zaidi amuelimishe kwa hilo, it's sad to lose a friend. :frusty:

Hapo sioni kama tumefika sisi waafrika, eti mna-share mpaka Bedroom, lakini ni marafiki tu hakuna lingine!!!!!!!!!
 
Kuna jamaa nae thread yake nahisi bado inajadiliwa yamemkuta hayo.pole alikuwa anampenda ndio maana kafanya hivyo, kazi kwa huyo dada sasa
 
Kama kweli huyo dada ni rafiki yake alitakiwa kufurahia hiyo habari. Mwambie huyo kijana amwache kwanza kwa muda. akimbembeleza alafu akute kumbe huyo dada ana feelings za mapenzi atafanya nini na yeye almost anamchumba tayari? urafiki wa kweli hauwezi kuvunjika na hayo. akubali huyo dada hakua rafiki yake na aendelee safari na mpenzi wake
 
Hapo sioni kama tumefika sisi waafrika, eti mna-share mpaka Bedroom, lakini ni marafiki tu hakuna lingine!!!!!!!!!

Ha ha haaaa mkuu, sasa hiyo inakuwa ni kutegana! yote mtafanya lakini hilo.... No way.
 
PHP:
[B] [IMG]https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/
It is too late to catch the train now it has left the station........................................ukikamata mahali pashikilie vinginevyo utajikuta wajanja wamekuchukulia mali yako................................kwa akina dada ujumbe ni kuwa kama una jamaa yako mmeshibana vizuri mwulize ana miipango gani na wewe ya muda mrefu ili uelewe mnatoka wapi. mmpo wapi na mwaelekea wapi................................prepare your partner or someone will prepare your partner to your utmost anguish.......................

do we learn something there???????????[/QUOTE]

Mkuu, Alikuwa anaremba Kaachiwa manyoya!
 
Jamani, kuna rafiki yangu wa karibu sana kaniambia kuwa yeye anaurafiki na dada mmoja hivi (urafiki wa kawaida tu) kwa muda mrefu sasa! Hajawahi kumtongoza hata siku moja, lakini juzi kati hapa, jamaa akapata mchumba na anataka kwenda kutoa posa. Lakini alipomwambia huyu binti ambaye ni rafiki yake wa kawaida juu ya swala hilo, huyo rafiki alikasirika sana, akamjibu hovyo kuwa kwanini anamwambia mambo yao? Ili aumie moyo au? Akawa anafyonya hovyo na kuondoka zake. Tangu siku hiyo hata akimpigia simu hapokei, hata sms hajibu! Sasa jamaa anashangaa, tatizo/kosa lake ni lipi? Anaomba msaada wana jamiii!!!!!!!!!!!!!

Tatizo hawakuwa wazi juu ya maisha yao binafsi na ktk stori zao hawakuwekana wazi juu ya maisha yao binafsi.
Hivo sioni kama walikuwa marafiki sana. Halafu jamaa yako hakuwa anaonesha hisia za mapenzi kwa huyo dada? Maana naye huenda alikuwa haiishi kumtania,sasa mwenzie akachukua serious.
 
PHP:
[B] [IMG]https://www.jamiiforums.com/images/icons/icon1.png[/IMG] Hujawahi kumtongoza, lakini....................... [/B]

    Jamani,  kuna rafiki yangu wa karibu sana kaniambia kuwa yeye anaurafiki na dada  mmoja hivi (urafiki wa kawaida tu) kwa muda mrefu sasa! Hajawahi  kumtongoza hata siku moja, lakini juzi kati hapa, jamaa akapata mchumba  na anataka kwenda kutoa posa. Lakini alipomwambia huyu binti ambaye ni  rafiki yake wa kawaida juu ya swala hilo, huyo rafiki alikasirika sana,  akamjibu hovyo kuwa kwanini anamwambia mambo yao? Ili aumie moyo au?  Akawa anafyonya hovyo na kuondoka zake. Tangu siku hiyo hata akimpigia  simu hapokei, hata sms hajibu! Sasa jamaa anashangaa, tatizo/kosa lake  ni lipi? Anaomba msaada wana jamiii!!!!!!!!!!!!!

It is too late to catch the train now it has left the station........................................ukikamata mahali pashikilie vinginevyo utajikuta wajanja wamekuchukulia mali yako................................kwa akina dada ujumbe ni kuwa kama una jamaa yako mmeshibana vizuri mwulize ana miipango gani na wewe ya muda mrefu ili uelewe mnatoka wapi. mmpo wapi na mwaelekea wapi................................prepare your partner or someone will prepare your partner to your utmost anguish.......................

Huyu mke wa Prince Williams ni somo zuri hapo ilifika mahali alimwuliza prince hivi hili husiano malengo yake ni yepi.......................prince akamjibu kuwa ni urafiki tu..................yule binti akasema mimi usinipotezee muda wangu ni mtu ninataka kuolewa kama haupo tayari basi tuachane.........ili usinizibie riziki maana wapo wanaonihitaji zaidi yako......................uhusiani ulivunjwa na prince aliporudi akaulizwa upo tayari kunioa au unataka kuendeleza zila soga za mwaka 47 ......prince akasema nipo tayari...........................................Binti alimwandaa mzee wake na leo wamefunga pingu za maisha.............................................................do we learn something there???????????

The new Princes is looking for a PA. Kaka utamfaa? Lakini kweli hii issue inatokea sana. Labda ni kwa sababu ya culture zetu and sometimes cost the ladies. Lakini hata kama jaama likuwa anampenda kivingine angemwelezea tuu. May be he was not interested to her in that way ndio maana kaenda kuchumbia kwingine.
 
Back
Top Bottom