PHP:[B] [IMG]https://www.jamiiforums.com/images/icons/icon1.png[/IMG] Hujawahi kumtongoza, lakini....................... [/B] Jamani, kuna rafiki yangu wa karibu sana kaniambia kuwa yeye anaurafiki na dada mmoja hivi (urafiki wa kawaida tu) kwa muda mrefu sasa! Hajawahi kumtongoza hata siku moja, lakini juzi kati hapa, jamaa akapata mchumba na anataka kwenda kutoa posa. Lakini alipomwambia huyu binti ambaye ni rafiki yake wa kawaida juu ya swala hilo, huyo rafiki alikasirika sana, akamjibu hovyo kuwa kwanini anamwambia mambo yao? Ili aumie moyo au? Akawa anafyonya hovyo na kuondoka zake. Tangu siku hiyo hata akimpigia simu hapokei, hata sms hajibu! Sasa jamaa anashangaa, tatizo/kosa lake ni lipi? Anaomba msaada wana jamiii!!!!!!!!!!!!!
It is too late to catch the train now it has left the station........................................ukikamata mahali pashikilie vinginevyo utajikuta wajanja wamekuchukulia mali yako................................kwa akina dada ujumbe ni kuwa kama una jamaa yako mmeshibana vizuri mwulize ana miipango gani na wewe ya muda mrefu ili uelewe mnatoka wapi. mmpo wapi na mwaelekea wapi................................prepare your partner or someone will prepare your partner to your utmost anguish.......................
Huyu mke wa Prince Williams ni somo zuri hapo ilifika mahali alimwuliza prince hivi hili husiano malengo yake ni yepi.......................prince akamjibu kuwa ni urafiki tu..................yule binti akasema mimi usinipotezee muda wangu ni mtu ninataka kuolewa kama haupo tayari basi tuachane.........ili usinizibie riziki maana wapo wanaonihitaji zaidi yako......................uhusiani ulivunjwa na prince aliporudi akaulizwa upo tayari kunioa au unataka kuendeleza zila soga za mwaka 47 ......prince akasema nipo tayari...........................................Binti alimwandaa mzee wake na leo wamefunga pingu za maisha.............................................................do we learn something there???????????
Sinai umegusa penyewe kabisa, hili swala linatutesa sana.Urafiki wa mwanaume na mwanamke, watu wengi hawaamini katika hilo... Tubadilike sio lazima tutongozane tunaweza kuwa marafiki wazuri tu bila kwenda mbali zaidi amuelimishe kwa hilo, it's sad to lose a friend. :frusty: