Hujafa hujaumbika

Greg50

JF-Expert Member
Feb 11, 2014
1,953
2,431
Baada ya kuchagua mchepuo wa HKL pale A level sikuwahi kabisa kuwaza kuwa nitakuja kuvaa barakoa kama wale jamaa wa PCB. Lakini mwaka huu nimeivaa bila kupenda nikakumbuka wahenga kuwa "hujafa hujaumbika".
 
Baada ya kuchagua mchepuo wa HKL pale A level sikuwahi kabisa kuwaza kuwa nitakuja kuvaa barakoa kama wale jamaa wa PCB. Lakini mwaka huu nimeivaa bila kupenda nikakumbuka wahenga kuwa "hujafa hujaumbika".
😂😂😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom