Ulikuwa unafanyaje unatumia njia gan mkuuuyaan ni kweli kabisa mi nilianza kidogo sana tena kwa kutangaza vitu kutoka kwenye maduka ya watu ukiitaji nakununulia nakuuzia ila now naagiza mwenyeye, vijana tuache uvivu tupambane
Ulikuwa unafanyaje unatumia njia gan mkuuuyaan ni kweli kabisa mi nilianza kidogo sana tena kwa kutangaza vitu kutoka kwenye maduka ya watu ukiitaji nakununulia nakuuzia ila now naagiza mwenyeye, vijana tuache uvivu tupambane