Huhitaji Boss Wala Ofisi Kutengeneza Milioni Kwa Mwezi (Be Your Own Boss Working From Anywhere)

yaan ni kweli kabisa mi nilianza kidogo sana tena kwa kutangaza vitu kutoka kwenye maduka ya watu ukiitaji nakununulia nakuuzia ila now naagiza mwenyeye, vijana tuache uvivu tupambane
Ulikuwa unafanyaje unatumia njia gan mkuuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom