technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 13,562
- 57,885
Tujipange haraka Sana internet inazimwa muda wowote Leo
Mmmmmm......mTujipange haraka Sana internet inazimwa muda wowote Leo
hapa nipo sijapokea bado boom😂😂😂hawa mbwa wanazingua sanaWasizwa watazima internet aisee na malipo yote yatasimama kwa muda hii hasara ya kuzima internet sijui waliwahi kupiga hesabu yake au..
daah kazi ipo ukipokea litumie kwa kunyata lisiishe mapema..hapa nipo sijapokea bado boom😂😂😂hawa mbwa wanazingua sana
Wanajua hasara waliyoipata... waendelee tu' ila wahuni watazikunguta mpaka basiHuduma za afya kwa sasa zinategemea internet kwa hiyo wakizima ni kuwa wametaka watanzania wakose huduma.
Wao huangalia 'faida' tu ambayo ni kuhakikisha Samia anabaki madarakani kwa gharama yoyote ikiwa ni pamoja na kuteka, kufira na kuua Watanganyika.Wasizwa watazima internet aisee na malipo yote yatasimama kwa muda hii hasara ya kuzima internet sijui waliwahi kupiga hesabu yake au..
Hapo kweli kazi ipo aisee...Wao huangalia 'faida' tu ambayo ni kuhakikisha Samia anabaki madarakani kwa gharama yoyote ikiwa ni pamoja na kuteka, kufira na kuua Watanganyika.
Hivi JF mpaka walipe restoration fees kwa TCRA? Maana nasikia huko TZ bado JF inwpatikana kwa VPN!!!Tujipange haraka Sana internet inazimwa muda wowote Leo
Mzee wetu hafidh hajambo?Mliambiwa kama watazima,au ndio mnawaambia wazime?
Hafidhi😀Mzee wetu hafidh hajambo?