mankizzo
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 658
- 521
namjua huyo.labda majina yawe yamefanana ila anachumba pia sinza lodge flani iv yaitwa wimbledon.siku 1 kilinuka nilikuwa nimetoka safari uganda.mteja kaibiwa simu zake za kazini,sijui ni kweli au ni deal la msimamizi wa lodge;ila kundi lake lilikuja na kumsapoti hajaiba..
-ilikuwa usiku wakakubaliana kesho polisi.mteja ni mchaga,akamla uroda tena usiku huku bado kuna bifu,kesho yake asubuhi akaamka akamfungia mlango kwa nje:nilikuwa chumba cha jirani;bei ya lodge ni 15000tzs hadi 30000tzs.namimi asubuhi ile japo nilikuwa bado natakiwa kukaa siku 3 nikakimbia nikakabidhi chumba wengine tuna aleji na kuonekana kwenye media.nikaenda hotel.hotelin hakuna cha fyoko wala fyokolo japo expensive kiasi.
wapi hiyo mkuu haaaaaa umenikumbusha majuma mawili yaliyo pita tulikua bunju kuna jamaa alikua ana ponda kuhusu Huduma za machangudoa sasa humbe mwenye nyumba waka alimsikia majuzi kalimwa notes ahame eti kisa ana rudi usiku haaa.umekimbia akati msala sio wako jiamini