HUDUMA ZA SERIKALI ONLINE*

HUDUMA ZA SERIKALI ONLINE*

Joined
Jul 28, 2026
Posts
28
Reaction score
59
HUDUMA ZA SERIKALI ONLINE*

TUNAKUFANYIA KAZI UKIWA NYUMBANI - HARAKA NA KWA UAMINIFU

Umechoka kusimama foleni? Acha sisi tukufanyie!

HUDUMA TUNAZOTOA:

1. Vitambulisho na Sera za Raia
  • Cheti cha Kuzaliwa - kipya, nakala, kusahihisha majina na tarehe
  • NIDA - usajili mpya, kubadilisha taarifa, kubadilisha picha, kutoa namba, kutoa kitambulisho kipya
  • Passport - maombi mapya, urejeshaji, kupotea, kubadilisha data

2. Leseni na Usajili
  • Leseni ya Udereva - maombi mapya, urejeshaji, kubadilisha kadi
  • TIN Number - kwa TRA, kwa kampuni na kwa mtu binafsi
  • Usajili wa Biashara - BRELA - jina la biashara, kampuni, NGO
  • Usajili wa Ardhi na Nyumba - utafutaji wa hati, vibali vya ujenzi

3. Elimu na Afya
  • NECTA - kutoa matokeo, kusahihisha vyeti, kuthibitisha vyeti
  • TCU na NACTE - maombi ya vyuo, uthibitishaji wa vyeti
  • NHIF - usajili mpya, kuongeza wategemezi, kulipia michango
  • NSSF - usajili, kutoa faida, kusahihisha taarifa

4. Malipo na Ushuru
  • Kulipia Kodi za Serikali - TRA, Halmashauri, maji, umeme
  • Ada za Vyuo na Shule - kupitia Control Number
  • Marejesho ya Fomu mbalimbali za Serikali

KWA NINI SISI?
Haraka: Kazi inafanyika ndani ya masaa 24-48
Rahisi: Tuma vigezo WhatsApp, malizia ukiwa nyumbani
Bei Nafuu: Malipo baada ya kazi kuonekana
Msaada: Tunakufuatilia hadi upate huduma yako

WASILIANA NASI LEO:
Piga/WhatsApp: [0673733598]
 
Back
Top Bottom