Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 3,611
- 8,742
Watanzania tumetawaliwa na wazawa kwa lugha rahisi ni CCM ambao wametuzoea kila kila jambo sababu wao wameshika mpini na jembe.
Swala la huduma za afya Tanzania ilitakiwa kuwa ndogo sana kwenye mifumo ya bima zake na sio lenye nguvu kama linavotumika.
Mtanzania mmoja akilipa 5000 kwa mwezi bima au kukatwa au kila sehemu itakayotumia kupata huduma kama usafiri bima itolewe shilingi 100.
Ni shingapi. Watanzania tupo wangapi?
Swala la huduma za afya Tanzania ilitakiwa kuwa ndogo sana kwenye mifumo ya bima zake na sio lenye nguvu kama linavotumika.
Mtanzania mmoja akilipa 5000 kwa mwezi bima au kukatwa au kila sehemu itakayotumia kupata huduma kama usafiri bima itolewe shilingi 100.
Ni shingapi. Watanzania tupo wangapi?