Huduma na Bidhaa za HALOTEL

Huduma na Bidhaa za HALOTEL

upload_2016-11-3_18-29-42.png

Pata Mkusanyiko Wa Nyimbo Kali Uzipendazo Na Upata Siku Moja BURE Kujiunga Na Huduma
Pata siku moja BURE kwa kujiunga na huduma ya HALO BEATZ na uweze kutuma na kuweka nyimbo uzipendazo kwa marafiki pale wanapokupigia kwa kutuma ON kwenda 15607.
Piga 15607 (Gharama: Tsh 20/Dakika) kupata nyimbo nyingi mpya za chaguo lako. Gharama ya kujisajili ni Tsh 20/Siku baada ya promosheni.


UTANGULIZI
HALO BEATZ
ni uduma inayowapa fursa watumiaji wa HALOTEL kuweka miito wanayoipenda isikike pale wanapipigiwa.

JINSI YA KUJIUNGA NA HUDUMA
- Kujiunga na huduma: Piga *15607*1#
-Kupakua nyimbo: Piga *15607*CodeYaWimbo#
-Kupata orodha ya nyimbo mpya: Piga *15607*5#
-Orodha ya nyimbo kwenye Albam: Piga *15607*6#
-Kusikiliza nyimbo kwa kuchagua nyimbo bora: Piga 15607

GHARAMA ZA HUDUMA

-Gharama za kusajili: BURE
-Gharama ya wimbo kupakua/Wekaupya/Nakili: Tsh.100/Nyimbo kwa wiki
-Gharama ya kusikiliza (IVR): Tsh.20/Dakika

TULIKE/JIUNGE NASI KUPITIA
- Facebook: VAS Halotel | Facebook
-WhatsApp: 0627 942 367
-Instagram: vas_halotel
-Email: Vas@HALOTEL.co.tz
-Jamiiforum: HALOTEL VAS
 
upload_2016-11-4_18-27-38.png

Tuungane pamoja katika Ulimwengu Mpya wa Burudani katika huduma ya HALO REDIO!
Piga 09 0122 0122 Ili Kujiunga Na Utapata Siku Moja BURE Ya Kutumia Huduma Hii
Jiunge Na Klabu Ya HALO REDIO Kwa Burudani Mbalimbali
Gharama Baada Ya Promosheni: Tsh 30/Siku


UTANGULIZI
HALO REDIO:
Hii ni huduma ya kuvutia inayompa nafasi mteja wa HALOTEL kusikiliza redio mbalimbali duniani kote na kupata taarifa mbalimbali za habari burudani na michezo kutoka sehemu tofauti tofauti ulimwenguni kote, bila huitaji wa masafa ya FM/AM wala mawasiliano ya intaneti.
kupitia huduma hii mtumiaji ataweza kusikiliza miziki ya aina mbalimbali kama vile R&B, rock, pop, Rege na aina nyingine nyingi,pia kupata habari za matukio mbalimbali pia michezo duniani kote
Mtumiaji pia ataweza kuhifadhi chaneli anazozipendelea na kuzisikiliza tena baadae.

JINSI YA KUTUMIA HUDUMA YA HALO REDIO

Kujiunga piga 09 0122 0122 ili kujiunga na huduma hii.

GHARAMA ZA HUDUMA

-Kifurushi Cha Siku: Tsh 30/Siku
-Gharama Za Kupiga: Tsh 20/Dadika.

TULIKE/JIUNGE NASI KUPITIA

-Facebook: VAS Halotel | Facebook
-WhatsApp: 0627 942 367
-Instagram: vas_halotel
-Email: Vas@HALOTEL.co.tz
-Jamiiforum:HALOTEL VAS
 
upload_2016-11-5_12-52-41.png

Pata Mwezi Mmoja Buree Kwa Kusajili Huduma Ya MCA Na Utapokea Jumbe Za Simu Ulizokosa Pindi Simu Imezima Au Haina Mtandao.
Gharama Ya Kusajili Baada Ya Promosheni Ni: 150/Mwezi.


UTANGULIZI
MCA
ni huduma inayo muwezesha mteja wa HALOTEL kupokea jumbe za simu alizokosa pindi simu ikiwa imezima au haina mtandao. Huduma hii husaidia wateja wa HALOTEL kuwa na mawasiliano muda wowote na mahali popote.

JINSI YA KUTUMIA HUDUMA
-Kusajili huduma: Tuma ON kwenda 15579 au piga *15579*1#
-Kusitisha huduma: Tuma OFF kwenda 15579 au piga *15579*0#

GHARAMA ZA HUDUMA
-Pata mwezi mmoja buree kujisajili kwenye huduma na utapokea jumbe ya simu ulizokosa pindi simu imezima au haina mtandao.
-Gharama ya kusajili huduma baada ya promosheni ni: Tsh 150/Mwezi.

TULIKE/JIUNGE NASI KUPITIA
Facebook: VAS Halotel | Facebook
WhatsApp: 0627 942 367
Instagram: vas_halotel
Email: Vas@Halotel.co.tz
JamiiForums: HALOTEL VAS
 
upload_2016-11-7_19-6-26.jpeg

UTANGULIZI
SIMUCLIP
ni huduma inayowarapa fursa wateja wa HALOTEL kufurahia video mbalimbali za kuchekesha, mambo muhimu ya soka, dondoo za mapishi, vikatuni, n.k kupitia simu zao.

JINSI YA KUTUMIA HUDUMA

-Piga *15738*1# kujiunga na Kifurushi cha siku
-Piga *15738*7# Kujiunga Kifurush cha Wiki.
-Piga *15738*30# Kujiunga kifurushi cha Mwezi.
-Jinsi ya kutumia huduma: Kutazama/kupakua/zawadi video kupitiahttp://simu.co.tz/

GHARAMA ZA HUDUMA

-Kifurushi cha Siku: Tsh:180/Siku
-Kifurushi cha Wiki: Tsh: 900/Wiki
-Kifurushi cha Mwezi: Tsh: 3,000/Mwezi
-Kupakua/Zawadi: Tsh:300/Video.
-Gharama za Data: Bure

TULIKE/JIUNGE NASI KUPITIA
Facebook: VAS Halotel | Facebook
WhatsApp: 0627 942 367
Instagram: vas_halotel
Email: Vas@Halotel.co.tz
JamiiForums: HALOTEL VAS
 
upload_2016-11-8_18-7-6.png

UTANGULIZI KUHUSU HUDUMA
HALO FUN
ni huduma ya kuburudisha na kufurahisha inayo kuwezesha kucheza Magemu kwenye intaneti kupitia simu yako ya mkononi. Kupitia huduma hii utapata nafasi ya kufurahia Magemu mbalimbali bila kikomo Magemu hayo ni kama vile Mashindano ya magari, Ngumi, Shabaha,Utamaduni, Magemu ya kutumia Mbinu na mengine mengi.

JINSI YA KUTUMIA HUDUMA
-Unaweza kujiunga na huduma kwa:
-Kupitia WAP: Tembelea http://halofun.co.tz/ kwa kujiunga na huduma
-Kupitia SMS:
-Tuma SMS “ON” kwenda 15736 kujiunga na kifurushi cha siku.
-Tuma SMS “ON30” kwenda 15736 kujiunga na kifurushi cha mwezi.
-Alafu tembelea http://halofun.co.tz/ ili kutumia huduma.

GHARAMA ZA HUDUMA

-Kifurushi cha siku: Tsh 150/Siku
-Kifurushi cha mwezi: Tsh1,500/Mwezi

TULIKE/JIUNGE NASI KUPITIA

Facebook: VAS Halotel | Facebook
WhatsApp: 0627 942 367
Instagram: vas_halotel
Email: Vas@Halotel.co.tz
JamiiForums: HALOTEL VAS
 
upload_2016-11-9_18-16-29.png

Hongera Bw. John P Were kwa kuwa mshindi wetu wa Wiki wa Huduma ya HALO WIN.Ni nafasi yako pia kujiunga na HALO WIN Leo Upate Zawadi Mbalimbali kila Siku!
-Kujiunga na Huduma ni Rahisi! Utapata Siku Moja BURE kwa Kusajili Huduma kwa Mara ya Kwanza!

-Pata Zawadi Nyingi Kuanzia Tsh.10, 000 Kama Muda wa Maongezi Kila Siku na Smartphone Aina ya H8401 na H8501!


JINSI YA KUTUMIA HUDUMA
-Piga 0901220004 ili kujiunga au tuma ON kwenda 0901220004

GHARAMA ZA HUDUMA
-Gharama za Kujiunga: Tsh 50/Siku

TULIKE/JIUNGE NASI KUPITIA
-Facebook: VAS Halotel | Facebook
-WhatsApp: 0627 942 367
-Instagram: vas_halotel
-Email:
Vas@HALOTEL.co.tz
-Jamiiforum: HALOTEL VAS
 
Kwa nn kuongea na customer care mnakata hovyo sana nyinyi halotel najutaaa speed ya internet imekaa h plus na SMS za whatsapp haziingiii mfyuuuuuu
Inakata kwa namna gani tunaomba utueleze nia jinsi gani unashindwa kuwafikia watoa huduma wetu...uko wap tunaomba kujua ili kufikisha tatizo idara husika.
 
upload_2016-11-10_18-17-3.png

UTAMBULISHO WA HUDUMA
PATA SALIO
Ni huduma inayo muwezesha mteja wa malipo ya awali wa Halotel kuomba mkopo wa salio pindi salio lake halitoshelezi. Deni litalipwa kipindi mteja akiongeza salio kwenye akaunti yake.

JINSI YA KUTUMIA HUDUMA
Piga *149*63# kutumia huduma.

FAIDA ZA KUTUMIA HUDUMA
-Huduma ina muwezesha mteja wa Halotel kuendelea kuwasiliana pindi salio lake likiwa dogo.
-Mteja anaweza pata mkopo wa salio wa Tsh 300 au Tsh 500 au Tsh 1000.
-Kiasi cha mkopo hakizidi 10% ya jumla ya kiasi cha matumizi kwa mwezi uliyopita

GHARAMA ZA HUDUMA
-10% ya mkopo. Mteja atalipa pindi akiongeza salio.

TULIKE/JIUNGE NASI KUPITIA
-Facebook: VAS Halotel | Facebook
-WhatsApp: 0627 942 36
-Instagram: vas_halotel
- Email: Vas@Halotel.co.tz
-JamiiForums: HALOTEL VAS
 
upload_2016-11-11_18-12-21.png

Jiunge na HALO WIN Leo Upate Zawwadi Mbalimbali kila Siku!
-Kujiunga na Huduma ni Rahisi! Pata Siku Moja BURE kwa Kusajili Huduma kwa Mara ya Kwanza!
-Pata Zawadi Nyingi Kuanzia Tsh.10,000 Kama Muda wa Maongezi Kila Siku na Smartphone H8501!


UTANGULIZI WA HUDUMA
Halo Win ni huduma mpya na yakuvutia kutoka halotel inayokupa nafasi nyingi za kujishindia zawadi mbalimbali zikiwemo za siku, wiki na Mwezi
Wateja wote wa Halotel wanaweza kujiunga na huduma hii, alafu wanatakiwa kuongeza salio kwenye akaunti zao za simu badaa ya hapo watapokea namba ya bahati na kutakiwa kupiga namba ya huduma na uingiza namba hiyo ya bahati au kuituma kwa njia ya ujumbe mfupi kwenye namba hiyo ya huduma.
Mfumo utachezesha droo na kuchagua washindi.

JINSI YA KUTUMIA HUDUMA YA HALO WIN

-Unaweza kujiunga na huduma kwa njia zifuatazo
-Njia ya IVR: Piga 09 0122 0004 ili kujiunga na huduma hii, alafu utatakiwa kuongeza salio kwenye akaunti yako ya simu, baada ya hapo utapokea namba ya bahati na utatakiwa kupiga namba ya huduma ambayo ni 09 0122 004 na kuingiza namba ya bahati uliyotumiwa.
-Njia ya ujumbe mfupi: Tuma ON kwenda 09 0122 004 kujiunga na huduma hii. alafu tuma namba yako ya bahati utakayopokea baada ya kujiunga au kuongeza salio kwenye akaunti yako kwenda kwenye namba 09 0122 004.

GHARAMA ZA HUDUMA

-Kifurushi Cha Siku: Tsh 50/Siku


TULIKE/JIUNGE NASI KUPITIA

-Facebook: VAS Halotel | Facebook
-WhatsApp: 0627 942 367
-Instagram: vas_halotel
-Email: Vas@Halotel.co.tz
-JamiiForums: HALOTEL VAS
 
Inakata kwa namna gani tunaomba utueleze nia jinsi gani unashindwa kuwafikia watoa huduma wetu...uko wap tunaomba kujua ili kufikisha tatizo idara husika.
Pale wakisema bonyezaa ngapi kuongeanna mhudumu wetu ukirogwa kubonyeza wanakata hapohapo
 
upload_2016-11-12_15-56-47.png

UTAMBULISHO WA HUDUMA
HALO STORY
ni huduma mpya inayowapa fursa wateja wa HALOTEL kujiunga na ulimwengu wa hadithi mbalimbali za kuvutia zipatikanazo ulimwenguni kote.

JINSI YA KUTUMIA HUDUMA
Piga 0901220002 kujiunga na huduma.

FAIDA ZA HUDUMA
-Huduma inawapa burudani mpya wateja wa HALOTEL kwa kupata hadithi mbalimbali za mapenzi,watoto, kuchekesha na zile za asili.

GHARAMA ZA HUDUMA
-Kifurushi cha siku: Tsh 100/Siku- Pata hadithi 2
-Gharama za kuhifadhi hadithi: Tsh 300/Hadithi

TULIKE/JIUNGE NASI KUPITIA

-Facebook: VAS Halotel | Facebook
-WhatsApp: 0627 942 367
-Instagram: vas_halotel
-Email: Vas@Halotel.co.tz
-JamiiForums: HALOTEL VAS

Mm sim card yangu inaniambia registration failed ni nini maana yake
Tembelea duka letu lililokaribu yako uweze kurenew line yako ukiwa na kitambulisho
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom