Huduma kama za Sinza nazipata wapi Kimara

Huduma kama za Sinza nazipata wapi Kimara

BABA TUPAC

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2015
Posts
1,533
Reaction score
3,837
Wakuu,

Mimi ni mteja wa mkubwa wa Ambiance (Yale mambo yetu) maana sinza ndio makazi yangu makuu

Sasa siku hizi nakuwa nakosa nafasi kabisa ya kwenda kununua sinza kwakuwa nimekuja kimara kumuuguza bro angy, naomba kufaham kama kuna mahali huku maeneo ya kimara wanatoa huduma hiyo.

Asanteni wajuzi wa mambo
 
Wakuu,

Mimi ni mteja wa mkubwa wa Ambiance (Yale mambo yetu) maana sinza ndio makazi yangu makuu

Sasa siku hizi nakuwa nakosa nafasi kabisa ya kwenda kununua sinza kwakuwa nimekuja kimara kumuuguza bro angy, naomba kufaham kama kuna mahali huku maeneo ya kimara wanatoa huduma hiyo.

Asanteni wajuzi wa mambo
Nenda Kez Pub kimara-kona wapo wamejaa tele....Pia mabahamedi wa Kingstone hapo kimara baruti wapo poa sana na pia wale wa pale Hawahii ... kazi kwako bro

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngoja nikupe fundisho kidogo. Wakati nipo chuo mwaka wa 2 nilikua na mshkaji wangu tulikua tukipata boom basi tunaenda hongera bar karibu na ambiance tunapata bia na mshkaji wangu anapata huduma ya ziada kama unayo hitaji wewe.
Siku moja tumeenda pale jamaa alikua anakula barmaid ilikua ni muda kidogo hatujaenda. Ile kufika hapo hatukumkuta yule barmaid jamaa akauliza kwa ma barmaid wengine vp yule demu yupo wapi? Akajibiwa amefariki mbona kama mwezi sasa. Jamaa akauliza tatizo lilikua nini? Akaambiwa mbona alikua muathirika kwa muda mrefu. Kilicho fuata baada ya hapo mshkaji wangu alichanganyikiwa kiasi kwamba hakumaliza kabisa chuo. Kila nikisikia hilo eneo naumia sana .
Nakushauri achana na huo mpango. Usije kujuta ndoto za mshkaji wangu zilipotea kirahisi. Sihitaji na wewe yakukute
 
Usitake hata kujua, hawa vijana wangu nina kazi ya kuwaombea.
Kaa zako utulie ukimaliza rudi zako nanjilinji ukaendelee na kilimo.
Karibu sana dasalama
Mkuu nahitaj kujua mkuu jiji hili l darisalama hta nikirud nanjilinji nikapate vya kusimulia.
 
Ngoja nikupe fundisho kidogo. Wakati nipo chuo mwaka wa 2 nilikua na mshkaji wangu tulikua tukipata boom basi tunaenda hongera bar karibu na ambiance tunapata bia na mshkaji wangu anapata huduma ya ziada kama unayo hitaji wewe.
Siku moja tumeenda pale jamaa alikua anakula barmaid ilikua ni muda kidogo hatujaenda. Ile kufika hapo hatukumkuta yule barmaid jamaa akauliza kwa ma barmaid wengine vp yule demu yupo wapi? Akajibiwa amefariki mbona kama mwezi sasa. Jamaa akauliza tatizo lilikua nini? Akaambiwa mbona alikua muathirika kwa muda mrefu. Kilicho fuata baada ya hapo mshkaji wangu alichanganyikiwa kiasi kwamba hakumaliza kabisa chuo. Kila nikisikia hilo eneo naumia sana .
Nakushauri achana na huo mpango. Usije kujuta ndoto za mshkaji wangu zilipotea kirahisi. Sihitaji na wewe yakukute
Dah aisee pole sana.
 
Ngoja nikupe fundisho kidogo. Wakati nipo chuo mwaka wa 2 nilikua na mshkaji wangu tulikua tukipata boom basi tunaenda hongera bar karibu na ambiance tunapata bia na mshkaji wangu anapata huduma ya ziada kama unayo hitaji wewe.
Siku moja tumeenda pale jamaa alikua anakula barmaid ilikua ni muda kidogo hatujaenda. Ile kufika hapo hatukumkuta yule barmaid jamaa akauliza kwa ma barmaid wengine vp yule demu yupo wapi? Akajibiwa amefariki mbona kama mwezi sasa. Jamaa akauliza tatizo lilikua nini? Akaambiwa mbona alikua muathirika kwa muda mrefu. Kilicho fuata baada ya hapo mshkaji wangu alichanganyikiwa kiasi kwamba hakumaliza kabisa chuo. Kila nikisikia hilo eneo naumia sana .
Nakushauri achana na huo mpango. Usije kujuta ndoto za mshkaji wangu zilipotea kirahisi. Sihitaji na wewe yakukute
alikuwa anaenda bila zana?
 
Ngoja nikupe fundisho kidogo. Wakati nipo chuo mwaka wa 2 nilikua na mshkaji wangu tulikua tukipata boom basi tunaenda hongera bar karibu na ambiance tunapata bia na mshkaji wangu anapata huduma ya ziada kama unayo hitaji wewe.
Siku moja tumeenda pale jamaa alikua anakula barmaid ilikua ni muda kidogo hatujaenda. Ile kufika hapo hatukumkuta yule barmaid jamaa akauliza kwa ma barmaid wengine vp yule demu yupo wapi? Akajibiwa amefariki mbona kama mwezi sasa. Jamaa akauliza tatizo lilikua nini? Akaambiwa mbona alikua muathirika kwa muda mrefu. Kilicho fuata baada ya hapo mshkaji wangu alichanganyikiwa kiasi kwamba hakumaliza kabisa chuo. Kila nikisikia hilo eneo naumia sana .
Nakushauri achana na huo mpango. Usije kujuta ndoto za mshkaji wangu zilipotea kirahisi. Sihitaji na wewe yakukute
Kwanini alichanganyikiwa...alienda kupima.???.ckuhz mshkaji yupo wapi
 
Back
Top Bottom