Sambusa kavu
JF-Expert Member
- May 4, 2015
- 797
- 1,264
Wakuu wa jukwaa heshima yenu...
Naamini kichwa cha habari kinajieleza tosha na wala hakitakuwa kigeni kwenye jukwaa hii
Simu tajwa hapo juu (huawei mate 10 pro) ndo simu niliyovutiwa nayo kuinunua kwasasa
Naombeni ushauri wa kitaalamu kabla ya manunuzi ,maana nimeambiwa inauzwa 1,350,000tsh
Je ni kweli iyo bei au napigwa? na je thamani ya simu husika na bei yake inaendana?
Nawakilisha na kushukuru in advance....asante
Naamini kichwa cha habari kinajieleza tosha na wala hakitakuwa kigeni kwenye jukwaa hii
Simu tajwa hapo juu (huawei mate 10 pro) ndo simu niliyovutiwa nayo kuinunua kwasasa
Naombeni ushauri wa kitaalamu kabla ya manunuzi ,maana nimeambiwa inauzwa 1,350,000tsh
Je ni kweli iyo bei au napigwa? na je thamani ya simu husika na bei yake inaendana?
Nawakilisha na kushukuru in advance....asante