Huawei Ascend y300 na matatizo ya mic

Inside10

JF-Expert Member
May 20, 2011
26,060
23,941
Wana jamvi hii simu nimenunua kwenye posta dar kwenye tigoshop kama mnavyofahamu inauzwa sana huko. Ila baada ya kuanza kuitumia lwo ikiwa siku kama ua 6 nimeanza kuona matatzo ninapokuwa napokea simu au kupiga. Baada y kuanza kuongea ghafla ninae ongea anakuwa anisikii ila mimi namsikiap vyema.

Sasa hili sijui litakuwa ni tatizo la hizi simu, kwani stori kama hii nimeiskia kwa watu wengine wawili kabla yangu.
- Na mmoja wao alipojaribu kuwarudishia tigo wanamletea longolongo.

Ushauri wenu wana JF.
-mwenye experience nahizi simu.. kama ndio tatizo lake tatizo tutoe ushauri kwa wengine kuziepuka.
- aliyepatwa na tatizo kama hili na njia nzuri ya kuli'overcome.

Cc C6 chief-mkwawa Young Master
 
Last edited by a moderator:
nimezitumia kea siku chache na sikuona tatizo lolote lile. sema tu mic na spika zake hazitoi sauti vizuri sana lkn zinafanya kazi vizuri.
 
nimezitumia kea siku chache na sikuona tatizo lolote lile. sema tu mic na spika zake hazitoi sauti vizuri sana lkn zinafanya kazi vizuri.

Yako umetumia kwa muda gani sasa...
Ya kwangu kwa sasa nkionge na mtu baada ya muda yeye anashndwa kunisikia.
 
nadhani hiyo ya kwako ndo ina matatizo, mm ninayo haijawahi kusumbua sauti, sema baada ya miezi 3 mpaka 4 hapo katikati lazima screen itakufa, so usishtuke nenda kariakoo kuna mafundi wanakubadilishia kwa 20 elfu za kitanzania.
 
nadhani hiyo ya kwako ndo ina matatizo, mm ninayo haijawahi kusumbua sauti, sema baada ya miezi 3 mpaka 4 hapo katikati lazima screen itakufa, so usishtuke nenda kariakoo kuna mafundi wanakubadilishia kwa 20 elfu za kitanzania.

Hilo suala screen kufa ni common sana?
Na vipi kuhusu hili tatizo la mic hao mafund wanaweza nisaidia
 
Wana jamvi hii simu nimenunua kwenye posta dar kwenye tigoshop kama mnavyofahamu inauzwa sana huko. Ila baada ya kuanza kuitumia lwo ikiwa siku kama ua 6 nimeanza kuona matatzo ninapokuwa napokea simu au kupiga. Baada y kuanza kuongea ghafla ninae ongea anakuwa anisikii ila mimi namsikiap vyema.

Sasa hili sijui litakuwa ni tatizo la hizi simu, kwani stori kama hii nimeiskia kwa watu wengine wawili kabla yangu.
- Na mmoja wao alipojaribu kuwarudishia tigo wanamletea longolongo.

Ushauri wenu wana JF.
-mwenye experience nahizi simu.. kama ndio tatizo lake tatizo tutoe ushauri kwa wengine kuziepuka.
- aliyepatwa na tatizo kama hili na njia nzuri ya kuli'overcome.

Cc C6 chief-mkwawa Young Master

Kwa kweli mkuu mimi sijawahi kutumia hizo simu hivyo sina kusema labda tumsubiri chief-mkwawa tumsikie naye ana lipi la kusema kuhusu hili.
 
Last edited by a moderator:
Tatizo la spika ni tatizo la sm yoyote.cha msingi rudisha .palepale tigo ukirudisha wanapeleka kwa mafund wao .inatengenezwa inakua poa.
Kuhusu screen kufa sio kwel n baada ya miez mitatu itakufa.
I Have y ascend 200 ile ya toleo la nyuma kwa mda wa miez nane nw.iko poaaaa.sm yyote ya scrwwn touch aushauriw uiweke mfukon kwenye surual za jeans .huwa zinaaribika kioo.inataka matunzoooo.
 
HIZO simu ni kimeo kinoma ya kwangu nimee ipirudisha pale posa mara 2 mara ya kwanza touch ilikuwa hai sense mara ya pili kamera aa nikaiuza ndugu yangu hivi sasa natumia nokia bila tatizo japo kuwh ile simu software yake niliikubali sana ila NI KIMIEO
 
Tatizo la spika ni tatizo la sm yoyote.cha msingi rudisha .palepale tigo ukirudisha wanapeleka kwa mafund wao .inatengenezwa inakua poa.
Kuhusu screen kufa sio kwel n baada ya miez mitatu itakufa.
I Have y ascend 200 ile ya toleo la nyuma kwa mda wa miez nane nw.iko poaaaa.sm yyote ya scrwwn touch aushauriw uiweke mfukon kwenye surual za jeans .huwa zinaaribika kioo.inataka matunzoooo.

mkuu huna uhakika na unachosema, fanya utafiti,
 
Tatizo la spika ni tatizo la sm yoyote.cha msingi rudisha .palepale tigo ukirudisha wanapeleka kwa mafund wao .inatengenezwa inakua poa.
Kuhusu screen kufa sio kwel baada ya miez mitatu itakufa.
I Have y ascend 200 ile ya toleo la nyuma kwa mda wa miez nane nw.iko poaaaa.sm yyote ya scrwwn touch aushauriw uiweke mfukon kwenye surual za jeans .huwa zinaaribika kioo.inataka matunzoooo.

Upande wa washkaji zangu wawili nao wana experience tatizo hilo note sio speaker ni mic ndio maana nimeanza kupata wasiwasi kuwa hizi simu ni vimeo.

By the way nashukuru kwa ushauri wako
 
Mh hv kweli processor yake ni 1ghz? Au ndo? Halaf ni ya ukweli sana, sema tu hardware kimtindo zinazingua nimesoma kwny opinion gsmarena.com watu wanalalamikia hilo hilo mic na kioo na vitu vinginevyo.
 
HIZO simu ni kimeo kinoma ya kwangu nimee ipirudisha pale posa mara 2 mara ya kwanza touch ilikuwa hai sense mara ya pili kamera aa nikaiuza ndugu yangu hivi sasa natumia nokia bila tatizo japo kuwh ile simu software yake niliikubali sana ila NI KIMIEO

Kama ndio hivyo nasikitika kwa brand kubwa kama tigo kuuza simu ambazo hazina ubora.
Ngoja na mimi kesho niwapelekee maybe wanaweza kuntengenezea
 

Attachments

  • huawei-ascend-y300-black.jpg
    huawei-ascend-y300-black.jpg
    42.4 KB · Views: 231
Mh hv kweli processor yake ni 1ghz? Au ndo? Halaf ni ya ukweli sana, sema tu hardware kimtindo zinazingua nimesoma kwny opinion gsmarena.com watu wanalalamikia hilo hilo mic na kioo na vitu vingiinevyo.

Ni 1ghz kweli
 
Mi natumia wiki ya pili sasa.mwanzo nilipata tatizo kama hilo nikawapelekea tigo as ivi iko poa.il a tatizo sijaweza kudownload video.nimejaribu application said I ya tatu
 
Mkuu nieleweshe hiyo firmware ndio inakuwaje?
Na hiyo itamalizaje tatizo la mic

ukisoma hapa kwenye comment section

www.gsmarena.com/huawei_ascend_y300-5386.php

ya gsmarena utaona kuna watu wana ilo tatizo matatizo wengine makubwa zaidi lakini wamesolve kwa kuugrade simu zao to the latest firmware toka huawei.

Soma soma comments utapata uelewa zaidi na solution.
 
Mi natumia wiki ya pili sasa.mwanzo nilipata tatizo kama hilo nikawapelekea tigo as ivi iko poa.il a tatizo sijaweza kudownload video.nimejaribu application said I ya tatu

Huko tigo waliifanye maana inanisumbua kweli na nipo mbali na ofisi za tgo
 
Back
Top Bottom