deogan
JF-Expert Member
- Sep 7, 2011
- 399
- 46
Wana jamvi hii simu nimenunua kwenye posta dar kwenye tigoshop kama mnavyofahamu inauzwa sana huko. Ila baada ya kuanza kuitumia lwo ikiwa siku kama ua 6 nimeanza kuona matatzo ninapokuwa napokea simu au kupiga. Baada y kuanza kuongea ghafla ninae ongea anakuwa anisikii ila mimi namsikiap vyema.
Sasa hili sijui litakuwa ni tatizo la hizi simu, kwani stori kama hii nimeiskia kwa watu wengine wawili kabla yangu.
- Na mmoja wao alipojaribu kuwarudishia tigo wanamletea longolongo.
Ushauri wenu wana JF.
-mwenye experience nahizi simu.. kama ndio tatizo lake tatizo tutoe ushauri kwa wengine kuziepuka.
- aliyepatwa na tatizo kama hili na njia nzuri ya kuli'overcome.
Cc C6 chief-mkwawa Young Master
Hilo ni tatizo la software ina makosa kwenye coding, kwa kuwa sasa natumia simu! Kesho ntajitahidi kuandika procedure za kufwata ili kulitatua.
Last edited by a moderator: