HTC unveils revamped HTC One

HTC unveils revamped HTC One

Chief-Mkwawa

Platinum Member
Joined
May 25, 2011
Posts
32,068
Reaction score
43,510
leo ndo simu inazinduliwa ntawapa hints kidogo za hii simu kwa wale wanaopenda htc. Hii ndo simu itakayodetermine uwepo wao kwenye competititon ya smartphone.

boom sound
htc wamezindua feature mpya ya simu yao itakayoitwa boom sound zitakua ni speaker 2 za mbele zenye kutoa sauti kwa stereo

music player
wameeka music player mpya inayotumia cloud service yenye uwezo wa kutoa lyrics internet na kukupa wewe mtumiaji unaeskiliza wimbo flani (usidhan za kibongo hapa ni nyimbo maarufu tu)

sense tv
hii ni kuleta enterteiment zako zote pamoja. Vitu vya online unavovipenda vinakaa pamoja ni kama hub flan hv.

noise canceletion like 808
naona wanampiga kijembe nokia hapa. 808 ilikua ndio simu pekee inayoweza kurikodi disco au maeneo yenye kelele na sauti ikatoka clear htc wanaclaim simu yao itafanya hivyo

camera
htc said:
"For years, people have been misled about what is important in a camera — what matters is not pixel count, but pixel size. Bigger pixels let in more light, it's simple physics."
jamaa wanawapiga dongo jengine nokia wanadai camera yao inauwezo 300 times better ya kuchukua mwanga na kuweza kutoa picha za low light kwa quality ya juu

pia kuna kitu kinaitwa htc zoe hii itakua kama cinemagraph kwenye lumia itakayowezesha mtumiaji kutengeneza animation kwa kutumia camera ya simu.

htc-one-sense5_large_extra_large.jpg


specification zitakua kama hivi
storage:kuna choice 32gb au 64gb
processor: snapdragon 600 quadcore clocked 1.7ghz
ram:2gb
battery:2300mah
connectivity:kuna bluetooth, wifi na 3g,2g,4g

maoni yangu
htc wamejitahidi kutoa simu yenye specification kubwa kuliko zote dunian kwa sasa, kwa hilo nawapongeza na hasa kioo chao chenye roughly 468pixel kwa kila nchi (full hd 1080 kwenye kioo cha 4.7).
Ila htc wanakosea sana kujipambanisha na makampuni makubwa maana unapopromise watu vitu na then hivo vitu visiwe kweli tegemea watu wakimbie. Htc amepromise kuwa na camera ya 4megapixel itakayokua na quality kushinda ya nokia (kweli?). Tusubiri muda si mrefu tutapata jibu
 
Nimeona its nice naitakuwa siyo ya plastic ni metal

hawa jamaa wana bidhaa nzuri mistake yao wanajifananisha na makampun makubwa

htc one ya mwanzo wamecopy samsung

htc8x kila kitu lumia

hii nayo wamecopy iphone5/bbz10 kuna blogger anasema kama zingekua simu zinazaa basi mtoto wa iphone 5 na bb z10 angeitwa htc one
 
Natumia Nokia C7, lakini mi ni mnazi sana wa simu za htc, mkuu kama upo pande za Dar, bei ya htc sensation xl inapigwa kiasi gani nijipange, lakini hii Nokia C7 imepasuka kioo na siiuzi itabaki kumbukumbe kwa ajili ya os ya symbian belle ambayo imekufa.
 
lol mkuu usimpe moyo 650? Bei ya uk imetoka itauzwa pound 510 (kama milion 1 na laki 3 za bongo)
 
lol mkuu usimpe moyo 650? Bei ya uk imetoka itauzwa pound 510 (kama milion 1 na laki 3 za bongo)
Uk wanamatax mengi kwenye electronic labda inaweza kuwa bei hivyo lakini kwa US nazani itakuwa cheaper kidogo
 
naona wanakimbizana tu maana LG nae amekuja na 'LG Optimus G Pro Smartphone', hapa Samsung anakuna kichwa atoke vipi!
 
Android Army is now ready for any OS!!!! Big up HTC!!! Ultrapixel and HTC Zoe..
 
simu ya kwanza kutumia Android ni HTC ,pia ikumbukwe hawa jamaa ndio walidisign tha world's first touch and wireless hand-held devices 1998. So sizani kama ni sahihi kusema wanajifaninisha na makampuni makubwa. Hawa jamaa wanaweza na sio wa polepole
 
simu ya kwanza kutumia Android ni HTC ,pia ikumbukwe hawa jamaa ndio walidisign tha world's first touch and wireless hand-held devices 1998. So sizani kama ni sahihi kusema wanajifaninisha na makampuni makubwa. Hawa jamaa wanaweza na sio wa polepole

mkuu sina jina umetudanganya htc ni simu ya 3 kutumia android

simu ya kwanza ni t-mobile g1 october 2008 thena ikafatiwa na t-mobile mytouch 3g july 2009

mpaka october 2009 ndo ikatoka htc.

Source
http://m.cnet.com/news/a-brief-history-of-android-phones/20016542

Kuhusu htc kua simu ya kwanza ya touch screen
pia hili sio kweli simu ya kwanza touch imetengenezwa na kampuni inaitwa ibm na simu ilikua inaitwa simon (japo apple alikua ana prototype)

IBM%20Simon.jpg


skuizi hamna kudanganyana mkuu kama nimedanganya lete source zako
 
Uk wanamatax mengi kwenye electronic labda inaweza kuwa bei hivyo lakini kwa US nazani itakuwa cheaper kidogo

us si ndo kimkataba? 32gb itakua 200usd kwa miaka 2 na 64gb 300usd kwa miaka 2. Dah ila hawa jamaa kwa kuiga sjapata ona
 
mkuu sina jina umetudanganya htc ni simu ya 3 kutumia android

simu ya kwanza ni t-mobile g1 october 2008 thena ikafatiwa na t-mobile mytouch 3g july 2009

mpaka october 2009 ndo ikatoka htc.

Source
A brief history of Android phones - CNET Mobile

Kuhusu htc kua simu ya kwanza ya touch screen
pia hili sio kweli simu ya kwanza touch imetengenezwa na kampuni inaitwa ibm na simu ilikua inaitwa simon (japo apple alikua ana prototype)

IBM%20Simon.jpg


skuizi hamna kudanganyana mkuu kama nimedanganya lete source zako
Inawezekana hujui kusoma na wala hujaelewa, ila ni vyema ukaelewa kwanza ,mimi sio mtu wa IT nasoma ninyi wataalamu wa IT mlichoandika kama history ya hizi gadgets Sipingi ila jua nini maana ya divices kwanza ndio uanze kunikosoa
HTC began designing some of the world's first touch and wireless hand-held devices in 1998
sdource; HT - Wikipedia, the free encyclopedia

Halafu kwewenywe hiyo link yako kuna hii note hujaisoma wewe
Editors' note: This list is current as of August 2, 2011. For brevity's sake, we've focused only on models previously or currently sold by U.S. carriers.


The first commercially available phone to run Android was the HTC Dream, released on October 22, 2008

suorce; Android (operating system) - Wikipedia, the free encyclopedia
 
Ishu ya touch screen umeshindwa kuprove source zako hata haziongelei mada yenyewe mkuu

hio link ya 2 inasema first commercial mobile phone so kuna kaneno hapo nyuma hujakanote, mkuu ngoja nikwambie dunia ya sasa ilivo kabla ya os kua maarufu lazma ufate carireer kwanza before manufacture wa simu same android ndo alivofanya na carieer wa kwanza alikua t-mobile na hizo ndo simu zilizotolewa nakupa na source ya gsmarena maana mnaipenda sana wabongo
T-Mobile G1 - Full phone specifications
 
Ishu ya touch screen umeshindwa kuprove source zako hata haziongelei mada yenyewe mkuu

hio link ya 2 inasema first commercial mobile phone so kuna kaneno hapo nyuma hujakanote, mkuu ngoja nikwambie dunia ya sasa ilivo kabla ya os kua maarufu lazma ufate carireer kwanza before manufacture wa simu same android ndo alivofanya na carieer wa kwanza alikua t-mobile na hizo ndo simu zilizotolewa nakupa na source ya gsmarena maana mnaipenda sana wabongo
T-Mobile G1 - Full phone specifications

The HTC Dream (also marketed as the T-Mobile G1 in the US and parts of Europe and as the Era G1 in Poland) is an Internet-enabledsmartphone designed by HTC. It was the first phone to be marketed running the mobile Android operating system, which was purchased and developed by Google to compete with Symbian and Apple's iPhone

Huna hoja ya msingi ,niliandika divices wewe ukaweka simu, ndio maana nikakwambia jifunze nini maana ya divices ,na pia kwenye hiyo link yako uliyotoa kuna note,hujaisoma unaendeleza ligi

Kujua sana sio kuelewa,pia nasikitika hujui T-Mobile ni nini!, nami najifunza kutoka kwako pia
 
mimi hizi smartphone zinanikera katika masual yao ya kuwa unlocked na locked alfu zinauzwa bei tofauti differnces inaweza ikawa mpk $ 100 kwani si watoe zote tu unlocked!!.....
 
The HTC Dream (also marketed as the T-Mobile G1 in the US and parts of Europe and as the Era G1 in Poland) is an Internet-enabledsmartphone designed by HTC. It was the first phone to be marketed running the mobile Android operating system, which was purchased and developed by Google to compete with Symbian and Apple's iPhone

Huna hoja ya msingi ,niliandika divices wewe ukaweka simu, ndio maana nikakwambia jifunze nini maana ya divices ,na pia kwenye hiyo link yako uliyotoa kuna note,hujaisoma unaendeleza ligi

Kujua sana sio kuelewa,pia nasikitika hujui T-Mobile ni nini!, nami najifunza kutoka kwako pia

hahha haya mkuu umeshinda salute my mistake, lakini kwenye touch screen karudie tena
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom