ManiTek TV
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 410
- 159
mkuu sina jina umetudanganya htc ni simu ya 3 kutumia android
simu ya kwanza ni t-mobile g1 october 2008 thena ikafatiwa na t-mobile mytouch 3g july 2009
mpaka october 2009 ndo ikatoka htc.
Source
A brief history of Android phones - CNET Mobile
Kuhusu htc kua simu ya kwanza ya touch screen
pia hili sio kweli simu ya kwanza touch imetengenezwa na kampuni inaitwa ibm na simu ilikua inaitwa simon (japo apple alikua ana prototype)
![]()
skuizi hamna kudanganyana mkuu kama nimedanganya lete source zako
Mkuu wewe ndiye uliyechemsha kwa sababu T mobile G1 ilitengenezwa na HTC. Hivyo ni kweli kwamba HTC ndio wa kwanza kutoa simu ya Android. N aya pili ambayo ni MyTouch 3G pia ni simu ya High Tech Computers (HTC)