Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,068
- 43,510
- Thread starter
- #41
-mkuu blink feed si ndo mpya???? Mbona wasema ndo selling point?
-Hio sense ipo lakini sidhani kama inadRive selling maana by second quarter htc wanaanza kula loss. Mauzo yao yanashuka kama maporomoko ya maji bora nokia kuliko htc kwa sasa kama trending itaendelea hivi maybe mwakani hatutakua na htc.
Mkuu unaona nokia wamechemsha ila anashkilia 75% ya windows phone na bado anakua. Ina maana kila wp8 inavokua na nokia anakua so siku wp8 ikiwa kubwa na android kubwa. Nokia ana wp8 na samsung ana android htc atakua mgeni wa nani?
Na angalia apss za nokia huzikuti platform yoyote ni zake mwenyewe labda hii here map ndo kaanza kuieka kwenye ios na mozilla so we muone tu nokia kachemsha ila time itatuambia.
Mkuu nakushauri tembelea nokia beta lab apps za nokia zinapopikwa nenda kaangalie unique talent wale jamaa hawaangalii jamii inapenda nini? Wanaangali tubuni nini jamii itapenda
-Hio sense ipo lakini sidhani kama inadRive selling maana by second quarter htc wanaanza kula loss. Mauzo yao yanashuka kama maporomoko ya maji bora nokia kuliko htc kwa sasa kama trending itaendelea hivi maybe mwakani hatutakua na htc.
Mkuu unaona nokia wamechemsha ila anashkilia 75% ya windows phone na bado anakua. Ina maana kila wp8 inavokua na nokia anakua so siku wp8 ikiwa kubwa na android kubwa. Nokia ana wp8 na samsung ana android htc atakua mgeni wa nani?
Na angalia apss za nokia huzikuti platform yoyote ni zake mwenyewe labda hii here map ndo kaanza kuieka kwenye ios na mozilla so we muone tu nokia kachemsha ila time itatuambia.
Mkuu nakushauri tembelea nokia beta lab apps za nokia zinapopikwa nenda kaangalie unique talent wale jamaa hawaangalii jamii inapenda nini? Wanaangali tubuni nini jamii itapenda