HR, Waajiri walalamika wahitimu ni weupe vichwani

Kuna vituko halmashauri utakuta wanakununilia lunch samaki mkubwa unabaki kuuliza shule mlisomea ujinga ni vituko tu, wanakimbia kimbia juu chini maswali yasiyo na msingi,eti mkaguzi umepata breakfast ?umefikia wapi ?,nilikwenda halmashauri moja nikamkuta mwanafunzi wangu niliyewahi kumfundisha miaka kumi na moja kabla ya mimi kuwa mkaguzi nilisikitika sana.The girl by that time aliongoza bookkeeping form four pia form six kitaifa akiwa Weruweru very intelligent.Kawa na akili za kilevi ,vitu vidogo hawajui kabisa.Tuna tatizo kubwa kwenye nchi hii.
Mazingira ya kazi yamemdumaza, amecope kwa aliowakuta. Naye amekuwa wa bora liende.
 
Hakika... Sasa unakuta boss ni mujuaji kupita maelezo... Unaamua kufanya kimazabe ili mwisho wa mwezi mambo yasiwe mengi
Kwani hao ma HR wao walienda kwenye ajira wakiwa wanajua kila kitu?? Ndio maana kuna orientation na mentoring na coaching to new employeee. Tusisahau tulipo anzia. Wajiri wapya tuwaelekeze kazi kwa uvumilivu kama na ye alivyovumiliwa huyo HR
 
wahitim wa shahada kwenye fani ya UHASIBU na KODI niweupe kama wanafunzi wa kidato cha nne
Pia 96% ya wahasibu wa Halmashauri hawajui wanachokifanya.....naongea kama MKAGUZI hasa kuhusiana na Creditor control account
"Creditor" control account,...... 96% wahasibu wa halmashauri hawajui wanachokifanya....
Upo CAG,COASCO au shirika gani la ukaguzi maana tunaweza kuwa na file lako.
 
HR flani alilalamika wahitimu wengi Ni weupe vichwani na kuuliza Nini kifanyike

Nilikuwa na haya yakujibu!
Ushauri chakufanya Ni kwanza wakufunzi hasa wa vyuo vikuu waanze kufundishwa maarifa ya kisasa
Pili tujaribu kuchukua wakufunzi kutoka vyuo Bora vya nje inaweza kuwa kwa mpango wa kubadilishana.
Tatu : tuangalie tunapokwama kwenye mitaala yetu
Nne: Muda wa mafunzo ya vitendo angalau uwe muda mrefu kuliko ule wa kusoma darasani ,, badala ya mtu kwenda field miezi 3 mwanafunzi aende mafunzo ya vitendo angalau miaka miwili.
Tano : ipo mifumo inayomruhusu mwanafunzi kujifunza zaidi ya kile anachopewa darasani Yani maswali yanayochochea upimaji na sio yanayomlazimisha mwanafunzi kukariri kitini Cha notes
Muulize hao vijana wametoka chuo gani? Siyo elimu kuwa sijui nini, ni suala la vyuo kuchipuka bila viwango. Lakini huyo HR mwenyewe ana uelewa gani? Tusijekuiwa tunajadili maoni ya kiwango hovyo. Siyo wmmoja wa wale wa Mzumbe? alikosoma na fulani fulani?
 
wahitim wa shahada kwenye fani ya UHASIBU na KODI niweupe kama wanafunzi wa kidato cha nne
Pia 96% ya wahasibu wa Halmashauri hawajui wanachokifanya.....naongea kama MKAGUZI hasa kuhusiana na Creditor control account

Mhasibu awe na CPA over hawa wengine sioni utofauti na mtu aliyesomq sociology. Mhasibu anashindwa Dr & cr. Hata hawa wenye CPA wengi hawawezi kuandaa Financial statements
 
HR flani alilalamika wahitimu wengi Ni weupe vichwani na kuuliza Nini kifanyike

Nilikuwa na haya yakujibu!
Ushauri chakufanya Ni kwanza wakufunzi hasa wa vyuo vikuu waanze kufundishwa maarifa ya kisasa
Pili tujaribu kuchukua wakufunzi kutoka vyuo Bora vya nje inaweza kuwa kwa mpango wa kubadilishana.
Tatu : tuangalie tunapokwama kwenye mitaala yetu
Nne: Muda wa mafunzo ya vitendo angalau uwe muda mrefu kuliko ule wa kusoma darasani ,, badala ya mtu kwenda field miezi 3 mwanafunzi aende mafunzo ya vitendo angalau miaka miwili.
Tano : ipo mifumo inayomruhusu mwanafunzi kujifunza zaidi ya kile anachopewa darasani Yani maswali yanayochochea upimaji na sio yanayomlazimisha mwanafunzi kukariri kitini Cha notes
Watafute hela tu
 
Unatupiga sio?
Ila wafanyakazi wengi ni weupe na sio tu graduates hata hawa waliokaa maofisini muda mrefu ni TATIZO
Boss wewe sijakuweka. Ila ndio ukweli huo. Mnajali sana mslai yenu na si ya watanzania wenzenu. Maana ninyi ndio wa kwanza kushauri tupu guziwe mishahara ili muonekane mnajali kampuni
 
Aya ndiyo matokeo ya serikali awamu ya nne kupunguza maksi ili Wanafunzi wafaulu wengi chini ya mfumo wa mchongo wa GPA!
We are reaping what we sowed!!
Tatizo lilianza 2012 kuna waislamu waliandamana wanaonewa
 
Jana nilipanda Bajaj na mtu mmoja nilikuja gundua anafundisha chuo kikuu. Akafungua Whatsapp kutokana na mwanga mkali wa simu yake nikawa interested kuona anafanya nini.
Akafungua groups kadhaa za wanafunzi wake mwishowe akaingia group la Registrar wa chuo, humo nadhani kuna lecturers wote. Kuna mmoja jina lake saved ni Adela ametuma mjadala eti WHO sijui UN imetangaza kuwa ujana ni mpaka miaka 50 (ni kama aliwaletea habari njema). Wakawa wanachangia kama vilaza humo huwezi jua ni wakufunzi wa chuo. Mwingine akadai eti watangaze kustaafu ni miaka 70, Adela ndio akaandika vijana watakosa ajira.

Huo mjadala ulifanya nijiulize kama hawa ndio wanafundisha, wanaofundishwa ndio itakuwaje? Hii nchi kumejaa vilaza kila idara, alafu sasa ajabu wana alama kubwa za ufaulu. Hata hao HRs wanaolalamika wamejaa vilaza kwelikweli.
Sasa ka mtu amemeza maswali na majibu akafaulu wategemea maajabu yapi toka kwake?
 
Kuna HR mmoja hivi alikuwa mnyanyasaji balaa,hee kumbe cheti feki!saa hii anaendesha toyo.
 
Hatuwezi kuwa serious na kutengeneza wataalamu wa fani mbali mbali ngazi ya degree na masters sababu hakuna pakuwapeleka wakihitimu.

Hata PHd tu wamebakia kuwa chawa maana PhD haipewi tena ile heshima yake ya mtu kuwa dokta.
 
Back
Top Bottom