How To Satisfy A Woman..

A wise man was asked by his wife:
- Honey, how would you want me to be? Always do what you tell me to do you even if it means to alter my own personality or do what I think is right to do even if it is not what you consider the right thing to do?
He answered:
- Why don't you use your judgement to answer this question?
And the women become who she truly was: A wife who was ready to alter her own personality for the man who understood her so perfectly!
And they lived happily ever after. lol
 
Habari yako swaiba,cjui km nahusika but nakubaliana nawe but ili kufanikisha yote hayo hela lzm nayo ina nafac yake as ujuavo tukibase kwenye ukweli mapnz bila pesa japo kwa ajili ya kukamilisha mambo muhimu hayafiki mbali achilia mbali kudumu!
 
Mimi mtanismehe na hichi kidhungu - nikiandika au kuzungumza kidogo kichwa kinaanza kuniuma - lol.
Kwanza nahisi hilo la "kuruhusu, ku"motisha" na kusadia au kuunga mkono", ni wajibu wa pande mbili. Kwa nini iwe ni jukumu la mwanamume tu, au ndio hiyo "man supremacy?". Ni pale tu mnapo ruhusiana, kumotishana na kusaidiana ndio maisha ya upendo yanafana.

Lakini pia kuna tatizo kama wengine walivyodokeza juu ya "mapenzi ya siku hizi", watu wanakosa kuaminiana.
Kwa kufanya hayo hapo juu kwa nia njema, wengine huutumia uhuru huo na kuwageuka wenzao. Kuna mifano mingi ya wanaoanza maisha chini kabisa, lakini mara tu baada ya kufanikiwa ki"material", mume anakimbilia kuoa mke/wake wengine au kuweka nyumba ndogo, au yote mawili, ikitegemea na dini. Au mwanamke anakuwa mfujaji, anahonga, anaanza dharau na mflulizo wa mikasa.

Ni nadra siku hizi kukuta mwanamke asiyewania kujenga nyumba yake au kujenga kwao bila ya kumshirikisha mume wake, pengine kwa hofu kuwa siku yoyote anaweza kutimuliwa. Au mume kuanza kuwajengea mahara wake kama kwamba hana watoto wa kuwatayarisshia maisha.

All in all, it's too complicated. How a man/women would know (110%) that he/she wouldn't be betrayed? (Lo hapa kidhungu kimekuja wenyewe bila kuumwa na kichwa).

Tufanye nini - wanawake na wanaume ili tupendane, turuhusiane, tuhamasishane, tusaidiane, na zaidi tuaminiane?
 
Mimi mtanismehe na hichi kidhungu - nikiandika au kuzungumza kidogo kichwa kinaanza kuniuma - lol.
Kwanza nahisi hilo la "kuruhusu, ku"motisha" na kusadia au kuunga mkono", ni wajibu wa pande mbili. Kwa nini iwe ni jukumu la mwanamume tu, au ndio hiyo "man supremacy?". Ni pale tu mnapo ruhusiana, kumotishana na kusaidiana ndio maisha ya upendo yanafana.

Lakini pia kuna tatizo kama wengine walivyodokeza juu ya "mapenzi ya siku hizi", watu wanakosa kuaminiana.
Kwa kufanya hayo hapo juu kwa nia njema, wengine huutumia uhuru huo na kuwageuka wenzao. Kuna mifano mingi ya wanaoanza maisha chini kabisa, lakini mara tu baada ya kufanikiwa ki"material", mume anakimbilia kuoa mke/wake wengine au kuweka nyumba ndogo, au yote mawili, ikitegemea na dini. Au mwanamke anakuwa mfujaji, anahonga, anaanza dharau na mflulizo wa mikasa.

Ni nadra siku hizi kukuta mwanamke asiyewania kujenga nyumba yake au kujenga kwao bila ya kumshirikisha mume wake, pengine kwa hofu kuwa siku yoyote anaweza kutimuliwa. Au mume kuanza kuwajengea mahara wake kama kwamba hana watoto wa kuwatayarisshia maisha.

All in all, it's too complicated. How a man/women would know (110%) that he/she wouldn't be betrayed? (Lo hapa kidhungu kimekuja wenyewe bila kuumwa na kichwa).

Tufanye nini - wanawake na wanaume ili tupendane, turuhusiane, tuhamasishane, tusaidiane, na zaidi tuaminiane?
Lol...Asante sana mkuu for your insight..
 
Back
Top Bottom