How to removal and protect android phone from adds

How to removal and protect android phone from adds

Parasite

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
613
Reaction score
580
za asubuhi wadau polen na majukumu hebu ninaomba msaada kwa niaba ya wengine pia jinsi gani unaweza kuzuia adds zisitokee wakati unaperuzi mtandaon na hata ukishadownload baadh ya apps zinakuja na adds,hebu tusaidiane kidogo hapa.
 
za asubuhi wadau polen na majukumu hebu ninaomba msaada kwa niaba ya wengine pia jinsi gani unaweza kuzuia adds zisitokee wakati unaperuzi mtandaon na hata ukishadownload baadh ya apps zinakuja na adds,hebu tusaidiane kidogo hapa.

root Simu kisha install adaway
 
ko root kuna hasara zake pia simu inaweza ikazima ikafariki dunia
 
Back
Top Bottom