How to make a woman happy.

I was thinking the same damn thing. It's just too much!.

Masika usiwaone wazuri barabarani wanapendeza na ngozi nyororo....Ni kazi kweli kuwaweka fit..

Laiti kungekuwa na zoo inasaidia kuwafunga halafu tunaenda huko kuazima....
 
ah ah ah jamani its not too much mbona ni mambo madogo tu yanayotokea kila cku?:A S kiss:
Masika usiwaone wazuri barabarani wanapendeza na ngozi nyororo....Ni kazi kweli kuwaweka fit..

Laiti kungekuwa na zoo inasaidia kuwafunga halafu tunaenda huko kuazima....
 
nasubiria comment za rose na queen
hahahahah kaaakha mwitaaaaaaa nambie kaka!!!!!1
ahhhhhhhhhh wanataka muhogo tu bwana ayo mengineyo yatajiset yenyewe mwenyew atakuwa fundi sjui boss sjui nini....we mjazie panapo muhogo oNLY ..the rest atayahendo mwenyewe!!!!!!11
 
@Pearly.... you have almost nailed it!!! Kimoja tu hapo umesahau

Happiness ya mwanamke ni momentarily... probably the same for men too:second:
 
Back
Top Bottom