mie ninajiuliza kila siku zile chupa za maji wanazokota watu zinapelekwa wapi isije kuwa wanatengeneza SOSEJI FAKE!!!
Kuanzia leo, nimekoma kula kwenye hotel za kichina lol. Si ajabu washatulisha hivi vitu feki, Mungu jalia.
Ha ha!! I was going to say they must be d*** expensive only to get to the bottom of the article and see the price!! Why are they so cheap considering all the material and effort that goes into producing them? Or is calcium carbonate and gelatin etc cheaper than chicken feed and lab technicians are paid less than farm hands?
Sitashangaa kusikia yamekua exported to Tanzania.
ngoja nichangamkie dili ya kuya import,
wapenda chips mayai wapo kibao.
siikosi vichwa kwa kweli
Hii habari si ya kweli... Hoax
....tutakuwa tunaonyesha ushirikiano kama wao wanavyoshirikiana nasi kwa kuwekeza hadi kwenye uuzaji wa karanga za kukaanga. Tuta 'import' tu hayo mayai,who cares!na hili linchi lenu linavojua kuimport everything fake from china subirini tu.
Don't buy any product from China
Thibitisha basi au??
Mbona zipo nyingi tu... chochote kitakacho anzishwa hakitakosa wafuasi.I wish they came up with "fake religions" for Africans to believe in... may be that way we'd have something positive to stir up change and put some ingenuity in our lives!