Uncle Rukus
JF-Expert Member
- Jun 16, 2010
- 2,415
- 398
Habari wakuu nina blackberry 9630, 9650 na 8830WE toka kampuni ya Verizon zinanipa taabu sana kuweka salio na kuangalia salio, haziku bali kwa kupiga *104* au *102# zina kuwa kama vile unapiga namba ya simu kwa njia ya kawaida hivyo nalazimika kuweka salio kwa njia ya sauti,
Hivi majuzi nimejiunga na tigopesa na vodapesa kasheshe ni kwamba siwezi kupata menu ya tigopesa na vodapesa kila nikipiga *150*00# na *150*01# zinaita badala ya kuleta menu usika, ila nikitumia blackberry pearl 8100 ya kampuni ya T-Mobile inafanya kazi kama kawaida na napata menu usika bila tatizo lolote, tatizo nini wakuu? Naomba msaada wenu wakuu
Hivi majuzi nimejiunga na tigopesa na vodapesa kasheshe ni kwamba siwezi kupata menu ya tigopesa na vodapesa kila nikipiga *150*00# na *150*01# zinaita badala ya kuleta menu usika, ila nikitumia blackberry pearl 8100 ya kampuni ya T-Mobile inafanya kazi kama kawaida na napata menu usika bila tatizo lolote, tatizo nini wakuu? Naomba msaada wenu wakuu