Abuubakar munis
Member
- Dec 14, 2011
- 51
- 5
Wadau kuna mtu anansumbua sana kiukweli nataka nii block namba yake yan akiwa ananipigia au anantumia mesej asinipate kabisa.....nijuzeni jinsi ya kufanya hivyo mana nimejaribu nimeshindwa alaf hyu mtu anazid kuniboa??