Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
JF..........................Aren't we just the best Jewel tunaoanzia na J???
JF..........................Aren't we just the best Jewel tunaoanzia na J???
JF..........................
ni kweli mtu wangu jina lakko la ukweli naweza kulikisia kutokana na post zako hapa ...
Me too hnyDamn it! I love mine too.
Hivi vitu ni kama waganga wa kienyeji. Wanaweka vitu vingiiiiii, tena mbali mbali, vingine in contradiction ili tu ukipata kimoja au viwili useme it is a match. Sasa Mimi na hizo characteristic za M, wapi na wapi jamani???Mimi naona nzinguliwa tu....naambiwa niko sexy, sijui miscelenius and Romantic but, I never or think I posses those particulars, naona ni ubatili mtupu, yaani mimi kuwa romantic, sijui sexy....ndiyo maana tunachagua maviongozi mabofu mabofu, koz hatujui kufanya selekiheni
Kama kuna kaukweli vile, ngoja nikachukue dikshenari, kuna kaudhungu kamenipita hapo mstari wa tatu
Hivi vitu ni kama waganga wa kienyeji. Wanaweka vitu vingiiiiii, tena mbali mbali, vingine in contradiction ili tu ukipata kimoja au viwili useme it is a match. Sasa Mimi na hizo characteristic za M, wapi na wapi jamani???
Mi naona niko hivi zaidi:Hebu ntajie sifa za MWALI.....of course najua mwali wa leo hii sio wa karne zile...... so tuendelee na vingine tu..
LOL Hapo inategemea unarefer jina gani..bombu au lile jengine?