You know here in jf kila mtu anatumia anonymous names..so its hard to know people this is how I imagine people walivyo in really life excluding my cupcake since I know him lol!...
Yo yo Fun guy kama Dave chappele ila inaelekea ni mfupi hivi around 55..una kama afro hivi..alafu mgomvi.
Kuhanithis dude man namfananisha na Jesse Jackson sr ila urefu wake kama jesse jr mtu ambaye hapendi kushindwa very serious hapendi utani ni yeye na news na anaonekana anapenda sana kusoma magazeti miwani ipo chini ya puwa .mnokoooo.
Mwanakijiji---yaani ni kazee Fulani hivi kafupi kama eyebrows nyingi alafu zina mvu,yaani namfananisha mwanakijiji the way alivyo ufupi wake kama Raisi mstaafu Alhaji mwinyi hivyohivyo mpaka anavyoongea
YNIMHuyo hana tofauti na Martin Lawrence,character and image.
PennySijajua kama Penny ni demu au men ila I feel like ni demu huyu mdada anaonekana ni mtaratibu sana she is around 54caramel complexion ,big brown eyes,long hair..na anaongea taratibu sana and a good listener.
Balantata---My friend Balantata namfananisha na Morgan freeman hivyohivyo siyo mtu anayependa kuongea sana..ni mtaratibu.
YE---Huyu ni namfananisha na Yule kocha wa Bears anaonekana ni mfupi around 54 alafu ana nywele kafuga na ndevu ana kitambi kidogo anafu mbishi sana.
To be continued .
Duuh nimeipenda hii thread,ni kitu ambacho huwa nakireflect nikiwa nasoma posts za wana JF.
Mbona hujasema FMES anaonekanaje?
Kelly...
You've some serious issues with urefu wa watu, how short are you? 5.6"? Huh
Kelly, Invisible is a woman...like u n me (maybe).
Mmh i didn't know that...all this time i thought invisible ni mwanamume atii duh basi nilikuwa namfikiria vibaya nikaanza imagine ana look kama michuzi ila yeye a little lighter...
you find michuzi to be handsome or what?
hahaha no way cupcake..besides the only man that i find to be handsome is only you cupcake....yes and i said it very loud....you r my handsome man....
No, I am your gorgeous hunk of a man...and don't forget you are my drop dead gorgeous Cupcake
we are alpha and omega.
or bonnie and clyde....or romeo and juliet
we are cupcakes (kelly01and Nyani ngagu) ...
or bonnie and clyde....or romeo and juliet
Ngagu? Who is Ngagu? Why are you messin' up my name Cupcake?
No i meant Ngabu....cupcake eeh you know me i have problem ya kuchapia....
Basi I will kuchapa you tonite Cupcake....
Yo yo –Fun guy kama Dave chappele ila inaelekea ni mfupi hivi around 5"5..una kama afro hivi..alafu mgomvi.
Kuhani-this dude man namfananisha na Jesse Jackson sr ila urefu wake kama jesse jr…mtu ambaye hapendi kushindwa very serious hapendi utani ni yeye na news na anaonekana anapenda sana kusoma magazeti miwani ipo chini ya puwa….mnokoooo.
Kelly kuna watu wakisikia hayo majina, vita yake huwezi ihimili, yaani itakwenda personal vibaya mno. Hasa Huyo Kuhani, some people wako obsessed naye.
Na wewe unakandamiza kwa kum-massage massage now and then.