How does it work?

How does it work?

Mnachekesha...very busy kweli mnafundishana kututongoza

Proud to be a woman kwa kweli....

Anyways namba sio guarantee plus wewe unaesema kupitia namba sijui unajua mood ya mtu kwa dp,status blah blah,sijui kwa kweli.

As for me hadi uone dp na status labda niwe nimekusave...
Na hadi nikusave labda nakujua
Btw mostly siekagi....

[HASHTAG]#msituchukulie[/HASHTAG] poa

Ovaaa
Nalo ni somo ujue au sababu we ni mwanamke?
 
Nimeamua kuuliza hili swali hapo juu.

Ni kipindi sasa nimekuwa nikisikia wanaume wenzangu wakisema kwamba "Nikishachukua namba tu mimi tayari nimemaliza shughuli" Hapa wakiwa na maana kwamba akipata namba ya msichana fulani basi lazima atamaliza mambo yote, kutongoza mpaka kula.

Sasa nimekuwa nikijiuliza sana kuanzia kipindi chote hicho kwamba kwanini kupata tu namba inakuwa ni one way ticket ya kumpata mwanamke fulani? Na nyie wanawake, ni kwamba huwa mkiwa kwenye convo za simu mnakumbwa na pepo la kujirahisi?

Ningeomba kufahamishwa kidogo, hii mbinu ya kuchukua namba kwanini inatumika kama tactic namba moja ya kumpata mwanamke?

Maana na mimi kidogo nili copy na ku paste huu uraibu wa kuchukua namba kwa kambi ya upinzani lakini sijapata ile output niliyoitegemea. How does it work? 🙄
Namba ni hatua ya kwanza. Ikianza vizuri una nafasi kubwa ya kufanikisha lengo lako. Sasa ukiomba namba ukanyimwa au kupewa kwa kulazimishs sana si ushajua obvious huyo mtu hana interest na wewe. Its not a guarantee but its a good sign.
 
Namba ni hatua ya kwanza. Ikianza vizuri una nafasi kubwa ya kufanikisha lengo lako. Sasa ukiomba namba ukanyimwa au kupewa kwa kulazimishs sana si ushajua obvious huyo mtu hana interest na wewe. Its not a guarantee but its a good sign.
Ulishawahi kupewa namba Pm?
 
Mnachekesha...very busy kweli mnafundishana kututongoza

Proud to be a woman kwa kweli....

Anyways namba sio guarantee plus wewe unaesema kupitia namba sijui unajua mood ya mtu kwa dp,status blah blah,sijui kwa kweli.

As for me hadi uone dp na status labda niwe nimekusave...
Na hadi nikusave labda nakujua
Btw mostly siekagi....

[HASHTAG]#msituchukulie[/HASHTAG] poa

Ovaaa
unajikuta mwenyewe...... Nyie mnajifanya MNA mashauz ndo mnagegedwa saaana..afu watu nyie drama nyingi tuu...lakini weng wenu n washamba
 
Mwanamke ni unpredictable! Ila jua ukishaona response ni ndogo ujue hajakuelewa usepe mapema mfno unatuma text afu anajibu baada ya masaa kadhaa
 
Namba ni stage nzuri ya kupita na manzii chaliakeee.
Ila kwenye convos..unatakiwa uwe janjaro chalaa mambo ya kuzingatia kwanza mamanzi hawapenzi ushamba..onyesha wewe sio wa kuja..pia kuwa charms...mchekeshe..Mfanye ajisahau anachati while kumbe anachati..

Pia, coz ndio mmefahamiana tu hatapenda stori mob kuwa streiti..sio utume meseji refu kama kungwi anaefunda wali kwenye group la whassap .

Hawapendi chalii mwenye mtero..onyesha umetulia..tena usionyeshe unaukameee naeee. Ataanza kukuniaje..vitu kama hii aseeh manzi hachomoki mzee. Sio wote lakini
 
Mapenzi hayana kanuni wala utaratibu maalum unaotumika kila mahali na kwa kila mtu, ingia unavyoona inafaa kwa yule unaemkusudia,ukifuatilia watu utaugua.
 
Mnachekesha...very busy kweli mnafundishana kututongoza

Proud to be a woman kwa kweli....

Anyways namba sio guarantee plus wewe unaesema kupitia namba sijui unajua mood ya mtu kwa dp,status blah blah,sijui kwa kweli.

As for me hadi uone dp na status labda niwe nimekusave...
Na hadi nikusave labda nakujua
Btw mostly siekagi....

[HASHTAG]#msituchukulie[/HASHTAG] poa

Ovaaa
nipe namba scorpio tutachat tuu sina makuu mie
 
Inawezekana kumbe ni kweli kabisa kwamba msichana anavoamua kutoa namba kwamba ameshakuelewa, so hapo ni wewe kumalizia na ku swim with tides. Nimekupata vilivo nadhani baada ya huu uzi creativity itaongezeka
Usiniangushe mkuu.
 
Back
Top Bottom