How do you overcome this

How do you overcome this

Mm nimekuelewaa mnooo, soma kitabu kinaitwa power of now! Utaelewa mind zinavocheza tricks na sisi binadamu, yaani its all in ur mind unampenda sana soo unaona ata kuumiza so ur subcouncious mind ina kuambia the easy way out is to break up with her ili ukimbie majanga mapema so u would rather hurt her first before she hurts you, hahaha seriously hii saikolojiaa hii tell me kama hufeel nilicho andika hapa
exactly,i think i should pm u
 
ndo ivo mkuu,ukisha
Ama ulishawai kuumizwa kwenye mahusiano? Ni vizur kuchukua tahadhari ya kutokupenda hadi ikapitiliza kwa mtu ambaye bado hamjasomana vizur lakin imani ya kuwa naye na ndiyo chaguo lako la maisha inamchango mkubwa sana kupata partner wa kudumu...
ndo ivo mkuu ukishagongwa na nyoka,,ila ntazingatia ushauri seems utanifaa
 
Hali hiyo inakutokea ukiwa na wasichana tofauti au ni huyo tu?
 
Ina maana hutakuja kuoa?

Utaishije kwenye ndoa kama utakuwa unsecured kila siku?
thats my point mkuu ndo mana i came out seeking for some councelling maana najua sooner than later i will have to go in
 
Pole ndugu....lakini nadhani unapaswa kuangalia your background....hapo ndo tatizo lilipo....kuna mahali shida ilipoanzia....jichunguze ni kitu gani kimepelekea uanze kuwa insecure....share it, we can help from there
 
Wasalaam wadau,

Sitaki kupoteza muda naomba niende moja kwa moja kwenye mada kuwa niko kwenye mahusiano na binti ambae tuko mikoa tofauti ambae tuna miezi kama minne inaendeaa mitano.

Wiki za nyuma nilimfata alipo we had fun ila kuna hii tabia yangu ya kudumu inanirudia kua whenever i fall like for real and deep i start to feel insecure, i cant get over it ata angenionyesha mapenzi kiasi gani bado najiona niko vulnearable so the best thing inormaly to do is to break up ili nisiumie.

Kwa kipindi kilichopo thats what i feel so insecure, and i strongly feel like breaking up with her simply because i feel like nikiendelea hivi nitampenda sana and akizingua ataniumiza sana.

Please some experience on this

Kwa iyo unaogopa kupenda, we mtoto wa kiume acha uoga.
 
thats my point mkuu ndo mana i came out seeking for some councelling maana najua sooner than later i will have to go in

Uanze kuchukulia mambo kirahisi sana.

Mfanye akupende na kukuamini.

Na wewe mpende na kumuamini.

Tatizo lako kubwa huna TRUST kwa mpenzi wako na hapo ndo tatizo kubwa linatokea.
 
Pole ndugu....lakini nadhani unapaswa kuangalia your background....hapo ndo tatizo lilipo....kuna mahali shida ilipoanzia....jichunguze ni kitu gani kimepelekea uanze kuwa insecure....share it, we can help from there
poa mkuu,,ntaufanyia kaz ushauri
 
Back
Top Bottom