AmKATRINA
JF-Expert Member
- Jul 27, 2012
- 414
- 366
Mimi hapa.
Haya twende ukanipe kreti zangu.
Maana nina kiu sana.
Kumbe ndio wewe...??? haya njoo huku kwanza chumbani nikufanyie ukaguzi halafu ndio twende tukapate moja, mbili, tatu.
Kumbe ndio wewe...??? haya njoo huku kwanza chumbani nikufanyie ukaguzi halafu ndio twende tukapate moja, mbili, tatu.
Young_Master shem! shem! shem! si nilisemaIta na mashahd wako kbs mambo ya lawama sitaki.
kheee!utajibeba P ninaye miyeHaya we nikane tu,
najua pa kukukamatia.
sio yeye sema anakupendaga siku nyingi ameshidwaga kabisaaa kukwambia leo kapata nafasi ya kutiririka
Young_Master shem! shem! shem! si nilisema
Young_Master shem! shem! shem! si nilisema
sio yeye sema anakupendaga siku nyingi ameshidwaga kabisaaa kukwambia leo kapata nafasi ya kutiririka
Ana wake humu.
Yani humu kila mtu ana wake,
kilichobaki ni kushare tu.
Umejuaje kama huwa ananipenda kama sio umbea?
Ulisema nini tena shem? Mbona mie sikumbuki?
Umejuaje kama huwa ananipenda kama sio umbea?
Heheeeeeee..!!!,
Halooooooo.....!!!,
Ina HU?
Young_Master mpe mpe mpe mapande yake hayo.
platozoom njoo huku tunamsuta mkeo.
Karuka deki kakanyaga Tv,
leo ndo leo.
Mpe huyo.
Kumbe unajua ka mbea e?