Mkuu...heshima ikipungua ndani ya ndoa, mapenzi hakuna, hutaiona hiyo furaha right?Mama mkwe wake wa zamani - Her Majesty, the Queen; mumewe wa zamani, Prince of Wales (mfalme mtarajiwa) ndio hao wakuu wa nchi na Kanisa la England halafu eti "kuwakomoa" anaenda "kuonesha mahaba" na jitu gani sijui huko; hawawezi kukuacha.
Huyu binti na kukaa kote kwenye nafasi muhimu inaonekana alikuwa "akili ndogo"; alishindwaje kujua fitna za kisiasa na ulimwengu unavyokwenda including dini na mambo kama hayo? Alipaswa ajikalie zake kwa upole na adabu; angekula mema ya nchi sasa ujinga wake umefupisha maisha yake.
Diana alishindana na ufalme uliotawala karibu robo tatu ya dunia ikiwemo marekaniMama mkwe wake wa zamani - Her Majesty, the Queen; mumewe wa zamani, Prince of Wales (mfalme mtarajiwa) ndio hao wakuu wa nchi na Kanisa la England halafu eti "kuwakomoa" anaenda "kuonesha mahaba" na jitu gani sijui huko; hawawezi kukuacha.
Huyu binti na kukaa kote kwenye nafasi muhimu inaonekana alikuwa "akili ndogo"; alishindwaje kujua fitna za kisiasa na ulimwengu unavyokwenda including dini na mambo kama hayo? Alipaswa ajikalie zake kwa upole na adabu; angekula mema ya nchi sasa ujinga wake umefupisha maisha yake.
Aliyeelewa anieleweshe
Kama wewe si mfuatiliaji (mshabiki) wa mambo ya nyumba ya malkia wa uingereza, ni ngumu mtu kuanza kukueleza visa kati ya marehemu Diana na mumewe charles. Ni tamthiliya moja kali na ndefu sana.Tueleweshane jmn
ndio utueleweshe sasaKama wewe si mfuatiliaji (mshabiki) wa mambo ya nyumba ya malkia wa uingereza, ni ngumu mtu kuanza kukueleza visa kati ya marehemu Diana na mumewe charles. Ni tamthiliya moja kali na ndefu sana.
Wako wapi leo?mwarabu katoka afrika,ana joto kuliko mzungu,halafu anapga pampu za uhakika tofauti na huyo mzungu wako asiyetahiriwa,ndiyo dada akapagawa na penzi la ustaadh
maisha yao yalikua mfupi wao wakayarefusha kwa kujipa kile roho zao zilipenda,sio wote wanataka kufa nyuso zikiwa zinatisha kwa uzee..kila mtu atakufaWako wapi leo?
Duh! Sikujua hilo na kama ndivyo walikuwa wapumbavu na matokeo ya upumbavu wao ndio hayo yaliyowakuta. Mwenyezi Mungu anasema hivi:-maisha yao yalikua mfupi wao wakayarefusha kwa kujipa kile roho zao zilipenda,sio wote wanataka kufa nyuso zikiwa zinatisha kwa uzee..kila mtu atakufa
Ww kweli duduDuh! Sikujua hilo na kama ndivyo walikuwa wapumbavu na matokeo ya upumbavu wao ndio hayo yaliyowakuta. Mwenyezi Mungu anasema hivi:-
“Honor your father and your mother, so that you may live long in the land the Lord your God is giving you".
nina shaka na huyo mungu alosema hivo..wanaoishi maisha mafupi hawakuheshimu wazazi?!Duh! Sikujua hilo na kama ndivyo walikuwa wapumbavu na matokeo ya upumbavu wao ndio hayo yaliyowakuta. Mwenyezi Mungu anasema hivi:-
“Honor your father and your mother, so that you may live long in the land the Lord your God is giving you".
Kakosea au? Mantiki hapo ni uzee sio kitu kibaya tofauti na kashfa zako eti nyuso za wazee zinatisha. Jiue mapema ili ufe ukiwa "kigori" mwenye "uso mzuri".nina shaka na huyo mungu alosema hivo..wanaoishi maisha mafupi hawakuheshimu wazazi?!
kwani uso wa mzee unapendeza?..pole kama ushakua ajuza,ila ukweli ni kwamba uso wa kingunge umechakaa na vaseline hawawezi mchukua maria nyerere wamfanyishe tangazoKakosea au? Mantiki hapo ni uzee sio kitu kibaya tofauti na kashfa zako eti nyuso za wazee zinatisha. Jiue mapema ili ufe ukiwa "kigori" mwenye "uso mzuri".
Endela kukashfu wazee kana kwamba uliokotwa! Kwa hiyo uko tayari kujiua ili usiwe na uso kama wa Kingunge? Sijui najibizana na mtu wa aina gani?kwani uso wa mzee unapendeza?..pole kama ushakua ajuza,ila ukweli ni kwamba uso wa kingunge umechakaa na vaseline hawawezi mchukua maria nyerere wamfanyishe tangazo
In fact she was the dumbest lady I have ever heard.! Yaani mama wa mfalme wa uingereza,azae na mwarabu kabisa halafu wamtazame tu,na huyo mwarabu awe ndugu wa William !! Hatari kubwa.Mama mkwe wake wa zamani - Her Majesty, the Queen; mumewe wa zamani, Prince of Wales (mfalme mtarajiwa) ndio hao wakuu wa nchi na Kanisa la England halafu eti "kuwakomoa" anaenda "kuonesha mahaba" na jitu gani sijui huko; hawawezi kukuacha.
Huyu binti na kukaa kote kwenye nafasi muhimu inaonekana alikuwa "akili ndogo"; alishindwaje kujua fitna za kisiasa na ulimwengu unavyokwenda including dini na mambo kama hayo? Alipaswa ajikalie zake kwa upole na adabu; angekula mema ya nchi sasa ujinga wake umefupisha maisha yake.
pekua ufahamu wako,unaongozwa na taboo zikitengeneza mihemuko,pitia toka awali ulipoanzia mjadala wetuEndela kukashfu wazee kana kwamba uliokotwa! Kwa hiyo uko tayari kujiua ili usiwe na uso kama wa Kingunge? Sijui najibizana na mtu wa aina gani?