How Diana secretly recorded hours of tapes pouring out her despair ?

Mama mkwe wake wa zamani - Her Majesty, the Queen; mumewe wa zamani, Prince of Wales (mfalme mtarajiwa) ndio hao wakuu wa nchi na Kanisa la England halafu eti "kuwakomoa" anaenda "kuonesha mahaba" na jitu gani sijui huko; hawawezi kukuacha.

Huyu binti na kukaa kote kwenye nafasi muhimu inaonekana alikuwa "akili ndogo"; alishindwaje kujua fitna za kisiasa na ulimwengu unavyokwenda including dini na mambo kama hayo? Alipaswa ajikalie zake kwa upole na adabu; angekula mema ya nchi sasa ujinga wake umefupisha maisha yake.
 
Mkuu...heshima ikipungua ndani ya ndoa, mapenzi hakuna, hutaiona hiyo furaha right?

Princess Di alikuwa anatafuta furaha na sio mavyeo, heshima, pesa ...unfortunately Prince Charles ni playboy la kutupwa! Hakuwa na mapenzi na Di na alimuoa kwa shinikizo na kisa ni bikra na urafiki kati ya Elizabeth na Earl Spencer ( babaake Diana)..Charles alimpenda sana Camilla na tunaona kinachoendelea baina yao after Di death!...

In a nutshell wanawake tumetofautiana na labda Di ni aina ya wanawake wenye flagile heart, hawezi kuteseka + kukosa raha kwenye maisha yake kisa ndoa! After all wote tutakufa, walimuua na wao pia wataonja kifo no matter what..
 
Diana alishindana na ufalme uliotawala karibu robo tatu ya dunia ikiwemo marekani
 
maisha yao yalikua mfupi wao wakayarefusha kwa kujipa kile roho zao zilipenda,sio wote wanataka kufa nyuso zikiwa zinatisha kwa uzee..kila mtu atakufa
Duh! Sikujua hilo na kama ndivyo walikuwa wapumbavu na matokeo ya upumbavu wao ndio hayo yaliyowakuta. Mwenyezi Mungu anasema hivi:-

Honor your father and your mother, so that you may live long in the land the Lord your God is giving you".
 
Duh! Sikujua hilo na kama ndivyo walikuwa wapumbavu na matokeo ya upumbavu wao ndio hayo yaliyowakuta. Mwenyezi Mungu anasema hivi:-

Honor your father and your mother, so that you may live long in the land the Lord your God is giving you".
Ww kweli dudu
 
Duh! Sikujua hilo na kama ndivyo walikuwa wapumbavu na matokeo ya upumbavu wao ndio hayo yaliyowakuta. Mwenyezi Mungu anasema hivi:-

Honor your father and your mother, so that you may live long in the land the Lord your God is giving you".
nina shaka na huyo mungu alosema hivo..wanaoishi maisha mafupi hawakuheshimu wazazi?!
 
nina shaka na huyo mungu alosema hivo..wanaoishi maisha mafupi hawakuheshimu wazazi?!
Kakosea au? Mantiki hapo ni uzee sio kitu kibaya tofauti na kashfa zako eti nyuso za wazee zinatisha. Jiue mapema ili ufe ukiwa "kigori" mwenye "uso mzuri".
 
Kakosea au? Mantiki hapo ni uzee sio kitu kibaya tofauti na kashfa zako eti nyuso za wazee zinatisha. Jiue mapema ili ufe ukiwa "kigori" mwenye "uso mzuri".
kwani uso wa mzee unapendeza?..pole kama ushakua ajuza,ila ukweli ni kwamba uso wa kingunge umechakaa na vaseline hawawezi mchukua maria nyerere wamfanyishe tangazo
 
kwani uso wa mzee unapendeza?..pole kama ushakua ajuza,ila ukweli ni kwamba uso wa kingunge umechakaa na vaseline hawawezi mchukua maria nyerere wamfanyishe tangazo
Endela kukashfu wazee kana kwamba uliokotwa! Kwa hiyo uko tayari kujiua ili usiwe na uso kama wa Kingunge? Sijui najibizana na mtu wa aina gani?
 
In fact she was the dumbest lady I have ever heard.! Yaani mama wa mfalme wa uingereza,azae na mwarabu kabisa halafu wamtazame tu,na huyo mwarabu awe ndugu wa William !! Hatari kubwa.
 
Endela kukashfu wazee kana kwamba uliokotwa! Kwa hiyo uko tayari kujiua ili usiwe na uso kama wa Kingunge? Sijui najibizana na mtu wa aina gani?
pekua ufahamu wako,unaongozwa na taboo zikitengeneza mihemuko,pitia toka awali ulipoanzia mjadala wetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…