Hahahaa, real love my foot...usingepita kwenye huu uzi ningejua ushaolewa na kibabu cha kibongo,tehHahaha
Ingekuwa ni mbabu wa kibongo mwenye vyumba viwili na choo sijui angesemaje... Real love?
Kisa mzungu basi shida.
Kama vile anavyoviigiza JotiKwa hiyo unatushauri tukatae vibabu vya kizungu tuchukue vya kiafrika au tufanyeje.......?....
Hivyi vya kiafrika usijaribu.... utakuna ana watoto fuso 3 pension yote analipa adaKwa hiyo unatushauri tukatae vibabu vya kizungu tuchukue vya kiafrika au tufanyeje.......?....
Heheheheaf sijui kwanini wazungu huwa wanaona wasichana wabaya kiasi hicho yani ukata mbabu wa kizungu kakomaa la lisicha linamdomo mkubwa au leusi tiii