How Desperate Dada Zetu Walioolewa na Wazungu

How Desperate Dada Zetu Walioolewa na Wazungu

Nassib Ws

Senior Member
Joined
Aug 11, 2012
Posts
170
Reaction score
115
Habarini humu ndani. Najua dada zetu wengi wakiona wametongozwa na wazungu (especially wazee) wanafurahi sana na kukimbilia kufunga nao ndoa ili wapate viza za kwenda nje. Kumbe mambo yako tofauti na mnavofikiria mkifika huko nje mnaanza kuishi maisha ya shida ya stress na kuwa vicheche tu. Nina experience kabisa nishawahi kuwa na mahusiano na mwafrika mwenzangu aliyeolewa na babu wa kijerumani. Yule mdada alinitongoza mwenyewe kwa sababu hakuwa na furaha katika ndoa, babu alikuwa hamridhishi, babu anamdhalilisha yule msichana (alishawahi kumwambia wafanye group sex na marafiki zake, babu anaomba ngono kinyume na maumbile, etc). Kiukweli yule msichana nilikuwa namuonea huruma sana kwani mambo yalienda ndivyo sivyo na mategemeo yake. Anasema yule babu alikuwa anakuja Tz kila baada ya miezi miwili na hicho ndio kilimdatisha sana yule dada so akaubali fastafasta wakafunga ndo na akamzalia. Ile wameondoka (nchi naiweka kapuni) walivofika kule ndio akagundua babu wa watu ana madeni serikalini na amefunguliwa kesi, mzee halipi maji na umeme, mzee anakaa kwwnye tuvyumba viwili tu na choo. Basi mie nikawa najilia mzigo taratiibu muda wangu ulivofika wa kurudi bongo nikamuacha yule dada kule. Dada anamiss sana Tanzania lakini sasa inabidi aje mara moja ndani ya miaka miwili kwa sababu hana nauli ya kuja huku. Napata story sasa hivi yule dada kule amekuwa anakigongesha sana kwa wabongo ili wamtoe stress maana Ulaya ukishazaa huna soko tena kwa wazungu we utagongwa tu na waafrika wenzako. Dada zetu jamani kuweki makini sana msiamini mnachokiona, vibabu vya kizungu vinaeza kuwaharibia maisha japo wengine wankuona umetoboa kumbe wapi wewe full stress. Na usibabaishwe na matumizi yao wakija huku bongo..
 
Habarini humu ndani. Najua dada zetu wengi wakiona wametongozwa na wazungu (especially wazee) wanafurahi sana na kukimbilia kufunga nao ndoa ili wapate viza za kwenda nje. Kumbe mambo yako tofauti na mnavofikiria mkifika huko nje mnaanza kuishi maisha ya shida ya stress na kuwa vicheche tu. Nina experience kabisa nishawahi kuwa na mahusiano na mwafrika mwenzangu aliyeolewa na babu wa kijerumani. Yule mdada alinitongoza mwenyewe kwa sababu hakuwa na furaha katika ndoa, babu alikuwa hamridhishi, babu anamdhalilisha yule msichana (alishawahi kumwambia wafanye group sex na marafiki zake, babu anaomba ngono kinyume na maumbile, etc). Kiukweli yule msichana nilikuwa namuonea huruma sana kwani mambo yalienda ndivyo sivyo na mategemeo yake. Anasema yule babu alikuwa anakuja Tz kila baada ya miezi miwili na hicho ndio kilimdatisha sana yule dada so akaubali fastafasta wakafunga ndo na akamzalia. Ile wameondoka (nchi naiweka kapuni) walivofika kule ndio akagundua babu wa watu ana madeni serikalini na amefunguliwa kesi, mzee halipi maji na umeme, mzee anakaa kwwnye tuvyumba viwili tu na choo. Basi mie nikawa najilia mzigo taratiibu muda wangu ulivofika wa kurudi bongo nikamuacha yule dada kule. Dada anamiss sana Tanzania lakini sasa inabidi aje mara moja ndani ya miaka miwili kwa sababu hana nauli ya kuja huku. Napata story sasa hivi yule dada kule amekuwa anakigongesha sana kwa wabongo ili wamtoe stress maana Ulaya ukishazaa huna soko tena kwa wazungu we utagongwa tu na waafrika wenzako. Dada zetu jamani kuweki makini sana msiamini mnachokiona, vibabu vya kizungu vinaeza kuwaharibia maisha japo wengine wankuona umetoboa kumbe wapi wewe full stress. Na usibabaishwe na matumizi yao wakija huku bongo..
Kwahio mfano wako huo mmoja ndio umekufikisha kwenye hilo hitimisho? Kw mfano na mimi nikikupa mifano ya watu kumi walioolewa na wazungu na wanaishi vizuri utabadili mtazamo wako?
 
Raha ni pale mtu anazungumza vitu ambavyo havipo.

Ni memhisi mdada mmoja lakini nahisi sio yeye.maana vingi havimatch.
 
Hivi kule nako ni ruksa kutoneshwa rinda ukidakwa na muke ya babu eeh!
 
Kuna watu wameolewa na vibabu na wametusua kimaisha,kila mtu na alichopangiwa katika maisha,hata angeolewa na mbongo mwenzie bado angeteseka kwa vichapo nk usitutishe
Hahaha

Ingekuwa ni mbabu wa kibongo mwenye vyumba viwili na choo sijui angesemaje... Real love?

Kisa mzungu basi shida.
 
Kwa hiyo unatushauri tukatae vibabu vya kizungu tuchukue vya kiafrika au tufanyeje.......?....
Teh teh...tena bora hivyo vibabu vya ulaya vina uwezo angalau wa kupanga vyumba viwili...
 
Back
Top Bottom