How can you handle a situation like this?

How can you handle a situation like this?

kijembeee

JF-Expert Member
Joined
Jun 6, 2012
Posts
409
Reaction score
105
Una mpenzi wako lakini kutokana na mishemishe za dunia mnaonana kwa nadra,na imekua ivo kwa mda mrefu kama miaka mitatu,ikaja kutokea akakutambulisha kwa rafiki yake wa kike,na most of the time mnaspend nae,ghafla unaanza kupata filings kwake,na ukiangalia interms of caring japokua bado ni rafiki lakini anakujali kuliko galfriend wako,and at the sametime galfriend wako anaanza kuleta pozi,ukikaa sometimez unamuona your galfriend as a complete stranger,nashangaa how we came to be together,pia the friend shows interest in you.....
so wanaJF how can you handle this situation?nitashukuru sana serious contributions
 
Don't waste anybody's time n love; go where you want!
 
Wote mali yako tu, tena umepata bahati ya kuletewa!!!
 
hilo mbona sio tatizo mwana...unajua uzuri wa hawa viumbe wapo ready kukupa papuchi ata kama wanajua u dating rafiki yake...so worry not just get close zaidi na huyo dada mpaka itokee umemmega and from there utajua nani mtamu zaidi
 
Una mpenzi wako lakini kutokana na mishemishe za dunia mnaonana kwa nadra,na imekua ivo kwa mda mrefu kama miaka mitatu,ikaja kutokea akakutambulisha kwa rafiki yake wa kike,na most of the time mnaspend nae,ghafla unaanza kupata filings kwake,na ukiangalia interms of caring japokua bado ni rafiki lakini anakujali kuliko galfriend wako,and at the sametime galfriend wako anaanza kuleta pozi,ukikaa sometimez unamuona your galfriend as a complete stranger,nashangaa how we came to be together,pia the friend shows interest in you.....
so wanaJF how can you handle this situation?nitashukuru sana serious contributions
Men have some morals and values.you don't know what love is all about .your a player
 
..ubazazi tamaa na uchu tu, kwanza kwa nini mspend na best? Kwa nini msispend wenyewe wawili? Next time atakutambulisha kwa beki tatu utamtamani! Chunga tamaa mbaya..
 
If you had paid enough attention to your galfriend, wala usingefikia hapo. Nenda mwana kwenda, ila ukitendwa huko usirudi.
 
sounds like a simple infatuation. merely distancing yourself from her will solve the problem
 
mkuu mi naona huyo girlfriend wako piga chini songa mbele na hiyo mali mpya bwana haswaa ndo mpango mzima...............afu ukamtambulishe kwa washkaji zakonao wakikuchukulia usilalamike si ndo mpango mzima!!!!!!!!!!! mwosha huoshwa kuna mshaji wangu alimtosa demu wake bila sababu kisa kapata mali mpya after one year naye akamwaga tena bila sababu
 
We unamuona huyo girlfriend wako as a total stranger na kuwa amebadilika kumbe yuko vilevile ila wewe ndo umepoteza feelings na emotion zimehamia kwa huyo mpya kumbuka kipya kinyemi na huyo anaonesha ku care zaidi kwa sababu ameona interest kwa hiyo ukitambulishwa kwa mwingine utahamia tena
 
Angalia kijana hapo kuna mbinu usije kuwakosa wote, kuna wanawake wengine wanatazama uaminifu wako kabla ya ndoa, ndo mana wameisha weka mtego hapo:yo:
 
me najua avatar yako inakureflect bhana,dat happens but what z t dat u want in life??if u knw dat u can knw always where to run to nyc tymz
 
muache rafiki wa watu, tafuta solution kwa nini unapoteza interest kwa mpenzio, yakikushinda nenda mbali kwa wengine kabisa bana y umzunguke kwa rafikie kipenzi hadi ajuuute kukutambulisha, jirespect bana,
 
Back
Top Bottom