Raha jipe mwenyewe.... Choice wanasemaga "Thursday is the new Friday" lol... Wabongo tunavopenda jirusha!
wao ..
I'm sorry to hear you can't eat ...
try to keep your fluid level up ....
anyway why can't you eat anything ?
Hope your okay though..
since you can eat anything
Karibu kwa Dinner
lasagna (beef) hope you like cheese...
Ahsante
Mie Lasagna aaa sina bilisi nayo. Don't know why.....(@_@)
Au ndio uswahili unanihangaisha?
mimi super sasa tangu nisikie toka kwako hahah..
and i hope you will stay that way .... ..
naona wazidi ku meremeta tu ....
King'ast mayi dia, ningependa kukuona supa
King'ast kama dia, kwa mikwara na ma pupa
King'ast asilimia mia, jukwaani supa dupa
King'ast aweka nia, kote kote papa uka....
sasa bibi mzuri unanivizia
wakati ubongo umelala..
duuuhhhh..
Hujambo lakini??
ahhhhhh bana..
mi mpenzi wa lasagna sijui sababu ni rahisi kutengeneza ...
ukitaka kula cheese haswa.. huwa wapenda kutengeneza nini??
nimefurahi kukuona nawe pia...
sasa hiyo simu umewahi kuiweka chini kweli??
oooops my bad ..
samahani ..
since you can eat anything
Karibu kwa Dinner
lasagna (beef) hope you like cheese...
nimeamua kujipendezea zangu....si unajua mwezi huu ni ule wa mimi na wewe kwenda swimming....
Mie vyakula kwa mood. Utanisikia leo nataka Moroccan, kesho cha Turkish (my fav), au Italian, Lebanon, Indian, Japanese, ......
Kupika vya kula visivyo na asili ya Tanzania sana ni vya ki Morocco au vya Kiitaliano.
Siunajua Tajin au Pasta upishi wake mwepesi :]]
Hahahaha
Huwa haiwekwi chini
inaondolewa wakati wa kulala tuu
Ila muda wote wa mchana iko hapo kwa ajili ya kurahisisha mawasiliano huku kazi zinaendelea