Gorgeousmimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2010
- 9,296
- 7,688
- Thread starter
- #21
Take it easy Nyani Ngabu mbona cheche nyingi?kulikoni?Kuna watu wapumbavu kabisa humu. Kwa kuangalia tu mabandiko ya watu kwao inatosha kujifanya wanaujua umri wa mtu.
Na kudhihirisha zaidi upumbavu wao, mtu unaweza hata ukatunga stori tuseme ya mwaka 1983 ukiwa Canada ukisoma shahada yako yako ya uzamili na hao wapumbavu wakaingia mkenge na kujifanya wanaujua umri wako kwa kuona tu umeandika hivyo.
Na hapo hata hawakujui, hawajawahi hata kukuona, hata ulichokiandika hawana uhakika nacho, lakini wanafikia hitimisho la kujifanya wanaujua umri wako.
Kibaya zaidi unakuta wanajiaminisha kabisa kuwa wanachokisadiki ndicho sahihi. Huo ni zaidi ya ujuha na ujinga. Ni upumbavu maradufu.
Last edited by a moderator: