How America became great!?

How America became great!?

byeson

Member
Joined
Jul 25, 2019
Posts
11
Reaction score
6
Nimekuwa nikisoma na kusikia kivipi mataifa makubwa kiuchumi Kama China(under Mao the don), uingereza( mapinduzi ya viwanda) yalivoweza kutoka from zero to hero kwa kuonesha struggle walizozipitia Kama taifa.

Sijapata kujua vipi America ili rise.na kufika Hapo ilipo mpka kuwa taifa tishio kiuchumi duniani na nani /akina nani!? Alikuwa/walikuwa waongoza njia KATIKA mageuzi hayo ya kiuchumi ya America.
 
Ahsante ,,,Nimeshadukua hapa. LAKINI it's not open Kama yalivyomataifa mengine makubwa kiuchumi
 
Back
Top Bottom