MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 31,654
- 48,432
Hawa Houthi wana historia ya kulipua mabomu Saudi Arabia na hiyo ni mojawapo wa sababu kuu inafanya iwe vigumu kuwapiga.
Ifahamike Marekani huilinda sana Saudi, isingekua kwa Marekani pale Saudi pangekua majivu, sijui hata wafuasi wa ile dini wangekua wanaenda wapi kupiga shetani mawe.
Hapa video ya mojawapo wa matukio ya wao kulipua Saudi Arabia
View: https://www.youtube.com/watch?v=oPqLtbQeJj4
Ifahamike Marekani huilinda sana Saudi, isingekua kwa Marekani pale Saudi pangekua majivu, sijui hata wafuasi wa ile dini wangekua wanaenda wapi kupiga shetani mawe.
Hapa video ya mojawapo wa matukio ya wao kulipua Saudi Arabia
View: https://www.youtube.com/watch?v=oPqLtbQeJj4