Safi sanaBreaking: Russian President #Putin warned the West not to do any 'stupidity' in #Yemen.
Safi sanaBreaking: Russian President #Putin warned the West not to do any 'stupidity' in #Yemen.
Sijategemea kuona commnent ya kipumbavu kama ya jamaa hapo.WW3 kwa kuipiga Yemen
Mnavutaga nini
Hawawezi kukujibu, wanatiana moyo.UZI ume jaa maustadhati wanajifariji mna sema houthi amepiga meli ila hamsemi ni meli ipi iyo iliyo pigwa source ya taarfa hamuweki mpo mpo tu kama viwil viwili embu tuambieni ni meli ipi iyo iliyo lipuliwa???
unajua ni mtu mjinga peke yake anaweza kuamini kwamba hurthi wanaweza au wataweza kupigana na marekani na UK. mnajifariji sana kwa ujinga aisee.Breaking: Russian President #Putin warned the West not to do any 'stupidity' in #Yemen.
King solomonunajua ni mtu mjinga peke yake anaweza kuamini kwamba hurthi wanaweza au wataweza kupigana na marekani na UK. mnajifariji sana kwa ujinga aisee.
Hata kwa hamas tulikua tunajifarijiunajua ni mtu mjinga peke yake anaweza kuamini kwamba hurthi wanaweza au wataweza kupigana na marekani na UK. mnajifariji sana kwa ujinga aisee.
Mnajidanganya sana .Tulia Wazayuni mlambe dawa
The Houthis say the Red and Arabian Seas will remain closed to Israeli-linked ships until the war in Gaza ends!
Hahaha..UZI ume jaa maustadhati wanajifariji mna sema houthi amepiga meli ila hamsemi ni meli ipi iyo iliyo pigwa source ya taarfa hamuweki mpo mpo tu kama viwil viwili embu tuambieni ni meli ipi iyo iliyo lipuliwa???
Kushambulia meli za kibiashara ilikuwa kutangaza vita na mabeberu.One of the craziest thing US na UK walichofanya ni kuipiga Yemen,Yemen hawakutaka vita na yoyote wao walikua wanawapa hard time Israel ili wasitishe vita tu,,,sasa hawa evil beings wanaingilia ili vita iendelee kufany mambo magumu naona wana lazimisha tuingie kwenye WW3.
Sa we jiulize anapiga Yemen kwa maslaha gani? Yemen anazuia meli zinazo enda Israel ye America ni nani alazimishe ziende Israel .Huu ndio unaitwa ushabiki maandazi, taani USA aipige Gaza Kwa maslahi Gani?
Wapige ndege za Qatar za abiria?Wakitaka wapate mafanikio mapema basi wazipige hizo Saudia,Qattar na UAE kwa kutoa anga zao ili zimpige yeye ndugu yao.
Wasiishie kuzilenga meli za Marekani na UK peke yake.
Wapige mpaka ndege za Qattar ambazo nyingi zinapita hapo Yemen
Kiasi Americant aende na kijiji mzee mwenzanguSa we jiulize anapiga Yemen kwa maslaha gani? Yemen anazuia meli zinazo enda Israel ye America ni nani alazimishe ziende Israel .
Afu anaonyesha anaiogopa Yemen mpaa anakusanya nchi zingine. Kaogopa kwenda peke yake kasindikizwa na muingereza, Australia, South Korea, New Zeland, Baharain, Canada afu kuna wajinga hapa wanasema Yemen ana uwezo gani.
Ikiwa huyo America mnamkuza eti ni super power haoni hata aibu kusema kasaidiwa na hao wajinga.
Mimi naona hizo nchi zote zilizo shiriki watapewa dawa zao na Yemen red sea hakuna meli zao kupita.
We wacha story nyingi mwambie America mbona hakuna meli zilizoenda Israel? Pili hizi nchi ambazo zilisema zimenda tetea maslaha yao, wambie basi wapitishe Meli zao.Hayo makenge ya Yemen yanajitekenya.
Alafu yakianza kupigwa yale Makina ya South Africa ikawasaidie kupeleka kesi The Hague
Nini kilitrigger WW2?WW3 kwa kuipiga Yemen 😂😂😂😂
Mnavutaga nini
Makobasi shida sana.We wacha story nyingi mwambie America mbona hakuna meli zilizoenda Israel? Pili hizi nchi ambazo zilisema zimenda tetea maslaha yao, wambie basi wapitishe Meli zao.
Wamepiga target zote alizo piga Saud Arabia yani hakuna kipya walicho fanya zaid ya kuwauwa askari watano tu wa Yemen.
Mwambie America aonyeshe target alizo piga 😄
Uislam hauna makao...Allah yupo kil mahaliHakuna nchi ya kiarabu itaipiga saudia sasa watahiji wapi.
Saudia ndio makao ya uislam duniani
Yani mnataka mmoja akifanya ujinga na wengine waungane na ujinga wake? Saudia ana kosa gani?Akirusha makombora kuelekea meli za kivita za US na UK mengi yanaweza kutunguliwa.
Arudie kurusha kule Saudia
Kwa hiyo hata wale waliokufa walikuwa wanaishi kwenye miamba?Nimemsikia muongeaji wa Yeme Mohamed Al Bakhit akisema America na Uingereza target gani walizo piga, wamepiga majabali tu, anawambia haya tuone basi kama kuna meli itapita red sea labda wawe ndotoni
karibuYaani nimebaki msoaji tu, sijuhi hata nichangie nini make naona wachangiaji kwa 99% ni waisalam tu, akina green rajab, alwaz, faizafoxy, bwana utamu, kimsboy, nk dah huu uzi wenu wana wa munyazi!!