othuman dan fodio
JF-Expert Member
- Jan 2, 2018
- 5,696
- 9,114
Iran yupo hatua za mwisho kuuingia mtego wa mabeberu. Soon wataanza kutoa mlio
Yemen atafinywa na atatulia na hakuna vita ya3 itatokeaOne of the craziest thing US na UK walichofanya ni kuipiga Yemen,Yemen hawakutaka vita na yoyote wao walikua wanawapa hard time Israel ili wasitishe vita tu,,,sasa hawa evil beings wanaingilia ili vita iendelee kufany mambo magumu naona wana lazimisha tuingie kwenye WW3.
ShishaaNini kilitrigger WW2?
Unajua final touch iliyosababisha WWII?Kwamba hujasikia wala kuona utitiri wa meli zilizoshambuliwa na Houthi na pia kuzuia meli nyingine kukatiza Suez?
Kwani ni meli zote zinazopita Suez zinakuwa zimebeba silaha kuwapelekea Israel?
Halafu WWIII haiwezi ikasababishwa na kamgogoro kama hako ka hao wanamgambo wa Hamas, Houthi n.k
Unajua final touch iliyosababisha WWKwamba hujasikia wala kuona utitiri wa meli zilizoshambuliwa na Houthi na pia kuzuia meli nyingine kukatiza Suez?
Kwani ni meli zote zinazopita Suez zinakuwa zimebeba silaha kuwapelekea Israel?
Halafu WWIII haiwezi ikasababishwa na kamgogoro kama hako ka hao wanamgambo wa Hamas, Houthi n.k
Americant na Uingereza kweli wajinga na hawana akiliWe wacha story nyingi mwambie America mbona hakuna meli zilizoenda Israel? Pili hizi nchi ambazo zilisema zimenda tetea maslaha yao, wambie basi wapitishe Meli zao.
Wamepiga target zote alizo piga Saud Arabia yani hakuna kipya walicho fanya zaid ya kuwauwa askari watano tu wa Yemen.
Mwambie America aonyeshe target alizo piga
Ya Iraq ilikua hivi hivi misifa kibao mwisho sadam kakamatwa Kama kuku anayelalia mayai anasubiri akong'otoe tu midevu vululu vululu wakamuua.Kwani we akilini mwako nani anaye pigana na Hamasi unadhani Israel? Yule Israel ni kama mbwa wao anambiwa fanya hivi fanya hivi.
American kachezea pabaya hapo Middle East ndio apasahau yeye na muingereza.
Yemen mambo ya vita ndio utamaduni wao nyie tulieni muone kama America hajakimbilia Oman kuomba yaishe na Myemen na yuko tayari kulipa fedha anazo taka Yemen
Russia wameshamdumaza huoni harakati zake nje ya ukraine na ndio lengo la beberuHayo maneno matupu hayatafanya lolote lamaana
Hata kule ukraine wote walikua pamoja hao na wameshindwa kuiondoa Russia kwenye ardhi za ukraine
Hakuna meli itapita kwenda ama kutoka israhell mpaka ghaza iwe huru
Umewapa za usoKabisa!
Wapumbavu wachache hawawezi kuhatarisha maslahi ya mabilioni huko SAUDIA NA UAE kisa dini.
Kimeumana tindo na nyundo.Houth wa Nchini yemen wameiahambulia meli ya kivita ya Marekani kwa makombora na kuonya kua itazamisha meli za US na UK na yoyote atakaye toa anga lake kwa magaidi wa US na UK watakua vitani na wao
BREAKING:
Yemen's Houthis launched cruise missiles towards US navy ships.
“If you open your airspace to US and UK, you will officially be at war with us.” - Houthis warned Saudi Arabia, Qatar and UAE.
#YemenView attachment 2869404
Ndicho kinachosubiriwaIran yupo hatua za mwisho kuuingia mtego wa mabeberu. Soon wataanza kutoa mlio
hahahahaha unazani ni rahisi kama unavyo Sema?Saudia na UAE ndio nchi ambazo Marekani ana maslahi nazo makubwa ya kiuchumi kuliko nchi nyingine yoyote hapo mashariki ya kati na pia kote kuna Us Military base.
Hapo Houth hawatakiwi kujiuliza mara mbili ni kuanza kutwanga tu visima vyao vya mafuta wenyewe wataomba kusimamisha vita.
Houthi sasa hivi nguvu zao zote wanatakiwa wazielekeze Saudia.
Sent from my Infinix X6831 using JamiiForums mobile app
Kwani we akilini mwako nani anaye pigana na Hamasi unadhani Israel? Yule Israel ni kama mbwa wao anambiwa fanya hivi fanya hivi.
American kachezea pabaya hapo Middle East ndio apasahau yeye na muingereza.
Yemen mambo ya vita ndio utamaduni wao nyie tulieni muone kama America hajakimbilia Oman kuomba yaishe na Myemen na yuko tayari kulipa fedha anazo taka Yemen
Hamna lolote Sadam hakukamatwa kama walivyo onyesha America, wanajeshi wa America wenyewe walikiri we baki una kula viazi asubuhi wenzako wanakula break fast heavy.Ya Iraq ilikua hivi hivi misifa kibao mwisho sadam kakamatwa Kama kuku anayelalia mayai anasubiri akong'otoe tu midevu vululu vululu wakamuua.
HOUTHI ni SHIA.Wakitaka wapate mafanikio mapema basi wazipige hizo Saudia,Qattar na UAE kwa kutoa anga zao ili zimpige yeye ndugu yao.
Wasiishie kuzilenga meli za Marekani na UK peke yake.
Wapige mpaka ndege za Qattar ambazo nyingi zinapita hapo Yemen
Kwani walikuomba msaada, unadhani hawakujua matokeo ya hatua wanazochukua.Tuliwaonya hawa Yemen ila hawakusikia, sasa hatutaki kuona watu wanapost picha za watoto wala wanawake.
Wameyataka wenyewe sasa wapambane wenyewe
Mbona washapigwa sana na Houthi.Hakuna nchi ya kiarabu itaipiga saudia sasa watahiji wapi.
Saudia ndio makao ya uislam duniani
Harakati zipi ambazo huzioni nje ya ukraine ama harakati za nini unazozikusudia😀Russia wameshamdumaza huoni harakati zake nje ya ukraine na ndio lengo la beberu
Ukraine anazidi kuongezewa vifurushi vya misaada this means Russia has a long way to go..
Fuatilieni mambo vijana 😀hahahahaha unazani ni rahisi kama unavyo Sema?
Yemen ni nchi masikini apo Middle East kurusha Ata kombola moja Saudia
Yemen itafutwa yote hakuna jiwe litabaki juu ya jiwe lingine zitabaki kelele za pray for Yemen tu