Housing and transport allowances zinakatwa kodi?

Housing and transport allowances zinakatwa kodi?

Muteyan

Senior Member
Joined
Jul 8, 2013
Posts
131
Reaction score
43
Naombeni kuuliza kama hizo allowances zinakatwa kodi, mfano basic salari yako ni 200000 and 20% of your basic salary is transport cost and 30% of your basic salary is housing allowance. My qn, je wanapocalculate tax wanajumlisha na hizo allowances?
 
zinakatwa kodi mkuu..
any allowance (Posho) or benefit in kind (malupulupu) from the employer to employee is taxable under income act
pitia Act Section 3, 27 kidogo utapata mwanga
 
Wafanyakazi wa serikali wana exemption... wao hawakatwi kodi... kama upo private sector jiandae kukatwa mkuu jamaa hawana mchezo hata kidogo..
 
zinakatwa kodi mkuu..
any allowance (Posho) or benefit in kind (malupulupu) from the employer to employee is taxable under income act
pitia Act Section 3, 27 kidogo utapata mwanga

Ikiwa ndani ya taasisi wafanyakazi woote wanapata hiyo allowance bila ubaguzi na kwakiwango sawa,hapo kodi haikatwi..

Ila ikiwa allowance inatolewa kwa vigezo flani flani kama ngazi za mshahara,basi hapo kodi itakatwa.....
 
Ikiwa ndani ya taasisi wafanyakazi woote wanapata hiyo allowance bila ubaguzi na kwakiwango sawa,hapo kodi haikatwi..

Ila ikiwa allowance inatolewa kwa vigezo flani flani kama ngazi za mshahara,basi hapo kodi itakatwa.....

Upo sahihi kabisa
 
Ikiwa ndani ya taasisi wafanyakazi woote wanapata hiyo allowance bila ubaguzi na kwakiwango sawa,hapo kodi haikatwi..

Ila ikiwa allowance inatolewa kwa vigezo flani flani kama ngazi za mshahara,basi hapo kodi itakatwa.....

Nimeumia sana!
July napaswa kuanza kulipwa housing, transport allowances, nikajua si haba, ntapoza maumivu ya makato ya salary! Kumbe mpk huku pia watanifuata!
Daah!
 
Nimeumia sana!
July napaswa kuanza kulipwa housing, transport allowances, nikajua si haba, ntapoza maumivu ya makato ya salary! Kumbe mpk huku pia watanifuata!
Daah!

Hapo ndipo sheria zetu za kodi zinapokuwa na mapungufu.
Businessman anaruhusiwa ku deduct;rent,transport,vocha anazotumia etc.kile kinachobaki ndio kinapigiwa kiasi gani alipe kodi.
Lakini mfanyakazi zile gharama anazoingia ili apate income kama hizo transport,housing hawaruhusu deduction
 
Hapo ndipo sheria zetu za kodi zinapokuwa na mapungufu.
Businessman anaruhusiwa ku deduct;rent,transport,vocha anazotumia etc.kile kinachobaki ndio kinapigiwa kiasi gani alipe kodi.
Lakini mfanyakazi zile gharama anazoingia ili apate income kama hizo transport,housing hawaruhusu deduction

Kuna haja ya kutafuta namna ya kujilipa
 
Hapo ndipo sheria zetu za kodi zinapokuwa na mapungufu.
Businessman anaruhusiwa ku deduct;rent,transport,vocha anazotumia etc.kile kinachobaki ndio kinapigiwa kiasi gani alipe kodi.
Lakini mfanyakazi zile gharama anazoingia ili apate income kama hizo transport,housing hawaruhusu deduction

Kuna haja ya kutafuta namna ya kujilipa
 
Back
Top Bottom