Housemaid ananipigia simu kuuliza nipo wapi!

Housemaid ananipigia simu kuuliza nipo wapi!

na ww unaonekana tayari ndani yako umemkubali, sasa kama huna mpango nae wa kimapenzi, hakikisha unaweka mipaka. au kama nawe unampenda kabla hujamwambia akiwa ndani, mrudishe kwnz kwao, alafu ndipo uende kuchumbia ili atakapokuja ajue kabsa sasa anakuja kama mke.

zingatia by pastor illovo.
 
Hiyo ni hofu ya upendo wake kwako, inaweza isiwe wa kimapenzi shukuru na uwe unamjibu vizuri, afterall hupotezi kitu
 
Nimemfanya asijisikie kama mtumwa ila aonekane kama mmoja wa wanafamilia.

Lakini inawezekana Akawa na Mambo yake anataka kufanya ndio maana Anataka kujua upi muda utarudi Ili akagegedwe cha Fasta
 
mi nadhani hujamaliza story yote ...... ushawahi kumtongoza? je yeye ameshawahi kuonyesha dalidali za kiutuuzima? ana umri gani huyo housemaid ?
 
Mwanamke yeyote akimpenda mtoto mchanga sana
naturally atampenda na baba mtoto
na kama anajua mama mtoto hayupo
kutamani kuwa mama mtoto hutokea
hisia za kibinadamu zimemkumba
 
Miezi kadhaa imepita tangu niwe nae ambapo mama alimleta ili anisaidie kwa kuwa nina mtoto mdogo ambae nilimchukua kwa mwamamke ambae alikuaga mpenzi wangu tukaachana.

Ninachomshukuru ni kwamba amekua mwema kwa mtoto kiasi kwamba sijaona pengo la mtoto kutokua na mamake karibu hata mimi nimefarijika kwa huduma za ndani ambapo nikitoka sina wasiwasi huko nyuma.

Sasa kuna tabia kaianzisha ya kunipigia simu ikifika saa 2usiku ya kuniuliza niko wapi na nitakuja saa ngapi, hii kweli ni haki? Naogopa kumfokea anaweza kimbia akaniacha na mtoto ukizingatia pia nakaa na mdogo wangu wa kiume ambae anasoma.

Naombeni mnishauri nitumie njia ipi nimkanye kabla mambo hajaharibika.
Beki tatu woooote hao mpaka ukamchukuwe wa mataliki wako?
Mwenzio anajuwa kapanda cheo kawa mkoba sasa anashangaa mbona majukumu ya center half humpi?
 
Kama Anamlea Mwanao Vizuri Na Wewe Anakuonyesha Kukujali Huyo Ni Mwanamke Mwema...Muhamishie Chumbani Kwako Awe Mkeo Maisha Yenyewe Ndio Haya Haya Aisee...

Usisahau Kumuweka Sopu Sopu
Hui ndio ushauri,ampandishe cheo huyo binti yaishe, aaangalie tu kama dogo bado hajala sawa kama dogo kala aachane nae.

Nabii Tito.
 
Hiyo ni hofu ya upendo wake kwako, inaweza isiwe wa kimapenzi shukuru na uwe unamjibu vizuri, afterall hupotezi kitu

Uko sahihi, ye binaadamu tu yawezekana kabisa hana nia ovu na hata kama anayo mwisho wa siku hawezi fanya lolote bila ridhaa ya mwanaume mwenyewe. . . .

Cha maana kama ratiba yako bado we piga simu kabla hajakupigia muulizie hali ya hapo nyumbani kama mtoto anaweza kuongea muombe ampe simu ongea na mtoto basi kata simu. . .

Njia ya pili ni siku from no where mueleze bila kufoka ila seriously kuwa kwenye simu wewe huwa huulizwi ulipo wala unarudi saa ngapi sisitiza akipiga simu aseme lililomfanya apige baas. . .Na hata akipiga akauliza simamia hilo kuwa yeye hapaswi kujua hayo. . . .
 
Acha ufala na mawazo potofu, ushauriwe nn sasa hapo? Yy anataka kujua si umjibu nipo kazini? Usilete mada za kitoto huku, muulize mke uliyezaa naye, ndio maana hata ukatekelezewa mtt kutokana na akili yako ilivyo.
 
Miezi kadhaa imepita tangu niwe nae ambapo mama alimleta ili anisaidie kwa kuwa nina mtoto mdogo ambae nilimchukua kwa mwamamke ambae alikuaga mpenzi wangu tukaachana.

Ninachomshukuru ni kwamba amekua mwema kwa mtoto kiasi kwamba sijaona pengo la mtoto kutokua na mamake karibu hata mimi nimefarijika kwa huduma za ndani ambapo nikitoka sina wasiwasi huko nyuma.

Sasa kuna tabia kaianzisha ya kunipigia simu ikifika saa 2usiku ya kuniuliza niko wapi na nitakuja saa ngapi, hii kweli ni haki? Naogopa kumfokea anaweza kimbia akaniacha na mtoto ukizingatia pia nakaa na mdogo wangu wa kiume ambae anasoma.

Naombeni mnishauri nitumie njia ipi nimkanye kabla mambo hajaharibika.

maybe mwanao ndo anakutaka uwahi kurudi wala si mdada wa watu yeye kapiga simu tu ili mwanao asiye mpweke zaidi.
 
Mkuu fanya kumgonga japo mara moja tuu kuwekeana heshima.
 
Hivi hili nalo ni swali la kutuuliza watu wazima?

Mkuu haya mambo wakati mwingine yanachanganya ukizingatia ndo mara ya kwanza kuishi na maid alafu pia kuna mtoto mdogo.
 
Kama upo jirani sema upo mbali utachelewa sana kurudi.May be huwa anapanga ratiba na huyo mdogo wako wa kiume anayesoma
 
mi nadhani hujamaliza story yote ...... ushawahi kumtongoza? je yeye ameshawahi kuonyesha dalidali za kiutuuzima? ana umri gani huyo housemaid ?

sijawahi kumuonyesha dalili na hilo wazo halipo mimi ninachotaka ambacho ni dhumuni langu ni ku care my child, kuhusu umri sijamuuliza ila namkadiria ni early 20s.
 
Mjibu tu vizuri ila usimwoneshe interest yoyote na kuwa a busy na shughuli zako uwapo home. Atakuja shtuka tu anakosea na ataacha. Jitahidi asikuzoee naturally tu bila kulazimisha. Na pia usiridhike sana kuwa she is the best kwa mwanao. Be careful Mr.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom