Vituka
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 2,257
- 1,247
Habari zenu wana MMU,
Ninaomba mnishauri juu ya hili.
Nina mtoto wa dadayangu (mvulana). Kukweli nampenda sana kama mwanangu, kwanza kalizaliwa mimi nikiwa chekechea, nilimlea and honestly I love him very much. Alibahatika kupata kazi serikalini mwaka juzi, na baada ya miezi 6 alintambulisha mpenzi wake. Kiukweli sikufurahishwa na huyo mchumba kwani kwanza alimzidi 2 years, halafu mdada ameanza kazi 2004, yani anaujua mji ile mbaya. Isitoshe hata marafiki zake pia watata, ni wale masista duu wa bongo movie wenye skendo daily.
Baada ya kutambulishwa sikutoa comment yeyote ila after a week nkamtafta dogo nikamwambia awe makini sana mana wasichana wengi hapa town huwa sio wakweli, so amchunguze uyo binti kabla hajachukua uamuzi wowote ikiwa ni pamoja na kucheki afya zao. Dogo kiaina hakupenda ushauri wangu, ila kwa kila ndugu aliyemtambulisha uyo dada aliambiwa the same thing. Ni miaka 2 imepita sasa, dogo katuambia kuwa kaachana nae na kwamba yule dada hajatulia na hamfai.
Sasa, mimi nina a very beautiful, honest, smart, hardworking,God fearing and humble housegirl na ninatamani huyu my son amuoe. Je, nitumie njia gani ili hawa watu wapendane na hata waoane jamani/ Kiukweli the girl is good jamani, nimeishi nae for 2 years na kweli kama mzazi natamani iwe hivi ( NACHUKULIA ULE MSEMO USEMAO KIZURI KULA NA NDUGUYO). Tatizo moja tu, ameishia darasa la saba sasa sijui kama dogo atamkataa.
Nipeni mawazo wandugu.
Ninaomba mnishauri juu ya hili.
Nina mtoto wa dadayangu (mvulana). Kukweli nampenda sana kama mwanangu, kwanza kalizaliwa mimi nikiwa chekechea, nilimlea and honestly I love him very much. Alibahatika kupata kazi serikalini mwaka juzi, na baada ya miezi 6 alintambulisha mpenzi wake. Kiukweli sikufurahishwa na huyo mchumba kwani kwanza alimzidi 2 years, halafu mdada ameanza kazi 2004, yani anaujua mji ile mbaya. Isitoshe hata marafiki zake pia watata, ni wale masista duu wa bongo movie wenye skendo daily.
Baada ya kutambulishwa sikutoa comment yeyote ila after a week nkamtafta dogo nikamwambia awe makini sana mana wasichana wengi hapa town huwa sio wakweli, so amchunguze uyo binti kabla hajachukua uamuzi wowote ikiwa ni pamoja na kucheki afya zao. Dogo kiaina hakupenda ushauri wangu, ila kwa kila ndugu aliyemtambulisha uyo dada aliambiwa the same thing. Ni miaka 2 imepita sasa, dogo katuambia kuwa kaachana nae na kwamba yule dada hajatulia na hamfai.
Sasa, mimi nina a very beautiful, honest, smart, hardworking,God fearing and humble housegirl na ninatamani huyu my son amuoe. Je, nitumie njia gani ili hawa watu wapendane na hata waoane jamani/ Kiukweli the girl is good jamani, nimeishi nae for 2 years na kweli kama mzazi natamani iwe hivi ( NACHUKULIA ULE MSEMO USEMAO KIZURI KULA NA NDUGUYO). Tatizo moja tu, ameishia darasa la saba sasa sijui kama dogo atamkataa.
Nipeni mawazo wandugu.