Hiiiiiiiiiiii storiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii, ilinifanya nikashindwa kulala usikuuuuuuuuuuuuuuuuuuu.
Kumbe ulitungaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, uwe unapeleka kuleeeeeeeeeeeeeeeeee
Kwenyw umbea, umesikiaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Kuwa na imani mkuu,nani kakwambia nimeitunga.Hii ni kweli kabisa.Kwani toka uwepo hapa duniani ujasikia mtu anatemea na housegirl wake!kuwa na imani mkuu,haya mambo yapo!!
So far sijaamua uamuzi wowote,lakini kuna wana JF wamenishauri niwe mkweli na kukaa na mke wangu tujadili hili suala kwa kina na kukubaliliana sote tuna makosa na kuangalia ni namna gani ya kuanza maisha mapya!kitu kinachonishinda hapa ni nmna ya kuanzisha mjadala kwa kuwa sina ushadi wa kutosha kama kweli mke wangu alishatembea na mlinzi wangu!Sawa TT, niambie umefikia uamuzi gani mpaka sasa?
Fukuza na house girl maana ukimfukuza mlizi peke yake huenda ukaendelea na hiyo tabia.
Kitendo cha kutembea na wafanyakazi wenu ni aibu kubwa....
Yafaa mkiri makasa yenu na muaze upya maisha maana hayo ya sasa ni hatari tupu, mwaweza kujikuta mnateketea kwa magonjwa hatari wakati wowote.
Acheni kujitegemeza wenyewe...Mrudueni muumba
So far sijaamua uamuzi wowote,lakini kuna wana JF wamenishauri niwe mkweli na kukaa na mke wangu tujadili hili suala kwa kina na kukubaliliana sote tuna makosa na kuangalia ni namna gani ya kuanza maisha mapya!kitu kinachonishinda hapa ni nmna ya kuanzisha mjadala kwa kuwa sina ushadi wa kutosha kama kweli mke wangu alishatembea na mlinzi wangu!
Ahahaha!unatisha mkuu,bado upoupo mbaka lini?
Poa mkuu,nashukuru kwa ushauri wako,nitajitahidi kufanya mamuzi haraka iwezekanavyo!!Fanya hivyo fasta kabla ya mlinzi hajakuleta maradhi nyumbani kwako...maana kwa hesabu za fasta fasta ni kwamba jamaa kama ana mke basi ameshatembea na wanawake watatu, au anatembea na wanawake watatu hadi sasa; mkeo ( ambaye anampenda sana, your HG na Mkewe au vidosho wengine wa nje, pengine hata jana mkeo alikua nae pale ulipoondoka kwenda kwa rafiki yako