AMINATA 9
JF-Expert Member
- Aug 6, 2011
- 2,120
- 641
naona anahatarisha ndoa baba mwenye house kumtaka housegirl na sio house girl mana yy hana makosa bali faza house atamtisha hapo kila cku mpaka apewe anachokitaka loh! hakuna watu wenye tabu kama ma housegirl hapa duniani bora hata houseboyNani anahatarisha ndoa