Housegilr na toothpick

Housegilr na toothpick

Lukansola

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2010
Posts
5,435
Reaction score
1,611
Kuna bwana mmoja alikuwa ameajiri msichana wa kazi kutoka kijijini, sasa kuna siku moja baada ya kupata msosi akaomba toothpick. mazungumzo yalikuwa hivi:-

Baba: Dada naomba toothpick (stick).
Msichana: Zimeisha baba.
Baba: Hivi mnazitumiaje, si juzi tu nimeleta kikopo kizima hapa jamani?
Msichana: Baba, labda uwaulize hao hao wanao mimi nikisha tumia huwa narudisha humohumo.
 
Mkuu hii niliipost mimi mwezi uliopita.Hata hivyo inaonekana kupendwa.Poa.
 
Duh! Imekula kwangu, anyways it's a coincidence, thanks guys
 
i like it. Thanx.

Kweli Husninyo, vichekesho ni timeless, mwandishi mmoja wa kitabu cha the art of public speaking (sikumbuki jina lake) alisema "if a joke is fine and clean enough to be told to the public, the chances are it must've been heard"
Asante kwa kuni-protect mpendwa.
 
Back
Top Bottom