vasilisa mzuri
Senior Member
- Jul 9, 2013
- 113
- 55
Sina hamu mimi jamani! House girl kaniibia, kavunja mlango wa bedroom kaniibia mpaka bra na anda wea. Kwao hajafika tangu jumamosi hata wazazi wake wanamtafuta. Nina machungu hapa siwezi eleza.
Pole sana Mkuu kama una mume chunguza vizuri usikute amepangishiwa
Pole usilie sana inawezekana na wewe hujamlipa mshahara kwa miezi mi 3 etc lakini usihofu polisi wa intelligensia ya MMU watamu apprehend
House girl gani anacheleweshewa mshahara miaka hii akasubiri miezi mitatu?
pole, uwe makini wakati wa kuchagua.
Umejuaje ni yeye kakuibia?
Pole ila ulikua haumnyanyasi kweli maana amekukomesha kwelikweli..khaa