Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,921
- 4,236
Alichofanya Hausigeli sio chema kabisa.Hata kudai haki kuna vyama vingeweza kumsaidia apate haki yake.Lakini ni somo kwa WAAJIRI WOTE(Hasa RAISI).Usiwachukulie poa au kuwadharau/kuwanyanyasa WAFANYAKZI wako kwa namna yoyote ile.Tafuta njia za kuwamotisha iwe kwa PESA,RECOGNITION na hata RESPECT.usipofanya hayo ndio matokeo haya ya sumu(sumu zipo za aina nyingi).