Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,906
- 21,995
Familia ya kihindi ya watu 5 imelazwa hospitalini baada ya
housegirl kuwawekea sumu na kuondoka na mali kadhaa
habari zaidi zinasema hadija binti ambae alikuwa akiwapikia
chakula wahindi hao aliamua kuwawekea sumu watu hao na hivi sasa
aijulikan sababu za kufanya hivyo na polisi bado wanamtafuta
habari zaidi zinasema baba mama na watoto waliolazwa wameanza kufungua
macho lakini kuongea bado wanasua sua...polen sana
aen vizuri na hao watu ndio walioshikilia maisha yetu sasa mkiamua mnavyotaka ninyi mtaisha..natumain aikuwa sumu mliwekewa aweze kuchukua anavyotaka
housegirl kuwawekea sumu na kuondoka na mali kadhaa
habari zaidi zinasema hadija binti ambae alikuwa akiwapikia
chakula wahindi hao aliamua kuwawekea sumu watu hao na hivi sasa
aijulikan sababu za kufanya hivyo na polisi bado wanamtafuta
habari zaidi zinasema baba mama na watoto waliolazwa wameanza kufungua
macho lakini kuongea bado wanasua sua...polen sana
aen vizuri na hao watu ndio walioshikilia maisha yetu sasa mkiamua mnavyotaka ninyi mtaisha..natumain aikuwa sumu mliwekewa aweze kuchukua anavyotaka